Huenda Tundu Lissu akawajibishwa kwa kukiuka katiba, sheria na kanuni za uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa

Huenda Tundu Lissu akawajibishwa kwa kukiuka katiba, sheria na kanuni za uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
CDM hawana haja ya kumkata Lissu kwakuwa anakwenda kushindwa ktk sanduku la kura.
 
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Hahaha haipo hiyo
 
Mimi niseme tu kwa ufupi kuwa wenye akili Timamu na wanaojitambua ni lazima wampigie kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe.Mdomo wa Lissu ni wa Uropokaji na usio na breki wala mpaka.
 
Kwa maslahi Mapana ya MAMA YETU TANGANYIKA.

2025 October,MAMA ABDUL SAMIA Suluhu Hassan KURUDI KIZIMKAZI, Bendera inapeperushwa na mwingine.

By the Way ,Mwaka huu 2025 Rais ni Mwanaume,Mkristu, Mkatoliki Toka Tanzania Bara.
😅😅🤣🤣🔥🔥🚴🚴🚴 KWAHERI mama Abdul Mapunziko mema mwezi wa 10.
🚴🚴🚴🚴
 
Mimi niseme tu kwa ufupi kuwa wenye akili Timamu na wanaojitambua ni lazima wampigie kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe.Mdomo wa Lissu ni wa Uropokaji na usio na breki wala mpaka.
PUNGA, BWABWA katika wako Ubora,
MARINDA bkwisha,kwisha, kwisha kabisaaaaaaa🤣😅🤣😅🚴🚴🚴🚴
 
Kuharibu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ndo sababu ya GHARIKA LINALOKUJA KUISOMBA SISIEEMU NA VIBARAKA WAO
relax bas kibaraka akatwe kwa utulivu gentleman kwa kukiuka taratibu za uchaguzi:HAhaa:
 
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Lisu hana karama ya uongozi
 
CDM hawana haja ya kumkata Lissu kwakuwa anakwenda kushindwa ktk sanduku la kura.
haya yanafanyika katika kuweka record za uadilifu sawa, na uimara wa chama gentleman:HAhaa:
 
Hamna mjinga wa namna hiyo kiongozi, wanajua kbs wakithubutu watagawana mbao na hamna chadema itabaki itakwenda kwenye historia yani, kama makaburi ya wengine yalipo!
 
Mimi niseme tu kwa ufupi kuwa wenye akili Timamu na wanaojitambua ni lazima wampigie kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe.Mdomo wa Lissu ni wa Uropokaji na usio na breki wala mpaka.
Ndio kiboko ya mamako huyoo mnaye sana tuu.
 
Back
Top Bottom