Huenda Tundu Lissu akawajibishwa kwa kukiuka katiba, sheria na kanuni za uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa

Huenda Tundu Lissu akawajibishwa kwa kukiuka katiba, sheria na kanuni za uchaguzi wa CHADEMA ngazi ya Taifa

Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Hakuna wa kumtoa Lisu, huu ujinga peleka kwa chawa wenzio hapo Dodoma
 
ni wazi ana karama ya fujo, mdomo na makelele:HAhaa:
Lisu ndiye mwenyekiti.
Huu muda kwa nini usijadili kuhusu makamu mwenyekiti wa mbogamboga huko Dodoma.
Au mnasubiri jina liletwe mfukoni muanze kumpamba kwa kila aina ya unafiki na uchawa?
 
Lisu ndiye mwenyekiti.
Huu muda kwa nini usijadili kuhusu makamu mwenyekiti wa mbogamboga huko Dodoma.
Au mnasubiri jina liletwe mfukoni muanze kumpamba kwa kila aina ya unafiki na uchawa?
relax basi na uandike uzi kwa faida ya wadau,

huna haja ya kubabaika na mengine ni muhimu kuzingatia hoja mezana :HAhaa:
 
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Wajumbe wa hiyo kamati ndio akina Mwalimu, Kigaira ambao wake zao ni wale wanawake wabunge wenye utata?
 
Wajumbe wa hiyo kamati ndio akina Mwalimu, Kigaira ambao wake zao ni wale wanawake wabunge wenye utata?
muhimu ni maamuzi ya haki kwa mujibu wa katiba na sheria za chadema :pedroP:
 
Mpaka leo bado sijajua hii vita ya Tundu na Freeman mwisho wake ni nini asee 🤔🤔
 
Haki inatoka wapi hapo.

Mbowe hajawahi kutenda haki hata siku moja, Mzee ni mbinafsi na roho mbaya sana.
kwahiyo kibaraka mpiga kelele na mdomo ndiyo ana haki ya kuvunja katiba sio? :pedroP:
 
Mpaka leo bado sijajua hii vita ya Tundu na Freeman mwisho wake ni nini asee 🤔🤔
infact,
haina mwisho mwema kwa yeyote atakaepata fursa ya kuiongoza chadema.
kuhujumiana kutakua ndiyo haswa kumetamalaki kama kisasi kwa matusi na vijembe wanavyorushiana.

hapatakua na amani ndani ya chadema vyoyote itakavyokua :HAhaa:
 
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.

Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.

Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?

Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Dalali unahangaika sana.
Uziri tunakujua kuwa ni mla rushwa mchukia watu waadilifu
 
Dalali unahangaika sana.
Uziri tunakujua kuwa ni mla rushwa mchukia watu waadilifu
gentleman,
nachukia zaidi vibaraka wa mabwenyenye wa magharibi wanaojaribu kupenyezza ukoloni mambo leo kwa manufaa yao binafsi :HAhaa:
 
Back
Top Bottom