Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Jabali la kuramba asali Toka kwa CHIZIMKAZI 🤣🤣🤣😅😅🤔🤔🚴🚴🚴Mimi niseme tu kwa ufupi kuwa wenye akili Timamu na wanaojitambua ni lazima wampigie kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani Mheshimiwa Freeman Mbowe.Mdomo wa Lissu ni wa Uropokaji na usio na breki wala mpaka.
gentleman,Hamna mjinga wa namna hiyo kiongozi, wanajua kbs wakithubutu watagawana mbao na hamna chadema itabaki itakwenda kwenye historia yani, kama makaburi ya wengine yalipo!
Ndio wajaribu sasa... shauriana naogentleman,
wa akina nani wakijua wakati katiba sheria na kanuni za uchaguzi ndizo zinazofanya kazi?
ni muhimu kurilax,
ili taasisi ifanye kazi yake kulingana na utaratibu bila kumuonea haya wala aibu mkiukaji wa miiko ya uchaguzi
Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.
Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.
Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?
Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒
Mungu Ibarki Tanzania
relax bila kubabaika gentleaman, hususan ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala,Ebu tuondolee manyuzi yenu ya CHADEMA! Hatuyataki mungejua! Mnajitekenya na kucheka wenyewe! Hakuna mtu anayafatilia
Ndio wafanye basi kama kweli miamba au ni mbao za vumbi tu! Unawaona hawana akili sio?hakunaga majaribiao kwa serious institution kwenye kuchukua hatua gentleman unless ni weak institution
sio hisani wala mashindano kwenye kuchukua hatua gentleman,Ndio wafanye basi kama kweli miamba au ni mbao za vumbi tu! Unawaona hawana akili sio?
Aisee unajua umenishtua kumbe ndio maana haeleweki kumbe siyo rizikiPUNGA, BWABWA katika wako Ubora,
MARINDA bkwisha,kwisha, kwisha kabisaaaaaaa🤣😅🤣😅🚴🚴🚴🚴
" Mtoto sio ridhiki " kaleft KITAMBO SANA!!!!💯🤔😅🚴🚴Aisee unajua umenishtua kumbe ndio maana haeleweki kumbe siyo riziki
Dan! Gentromani zile huenda kumbe bado unazo kibindoni😂Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.
Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.
Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?
Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Umekosa hoja umeanzisha uongo mwingine.Bado haijabainika wala haijawekwa wazi kwamba ni sehemu gani ya katiba, sheria au kanuni za uchaguzi zilizokiukwa, lakini tayari mchakato wa kumuita na kumpeleka mbele ya kamati mahususi juu ya mambo haya umekamilika.
Hofu kubwa imetanda kwenye kambi yake na wanasheria wamejipanga vilivyo kumsaidia japo sijui kama inahiusika au itasaidia chochote, kumnasua kwenye mkwamo huo wa kimaadili, ambao unafanana kabisa na ule ambao umemkumba mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga.
Kama mdau wa siasa za Chadema, unadhani Tundu Lisu anaweza kuchomoka kwenye kibano au kikaango hiki cha kimaadili na kisheria na akavuka mchujo wa kugombea uenyekiti wa Chadema Taifa?
Unadhani ni kitu gani hasa kinaweza kumfanya akawajibishwa na chama kimaadili kama alivyowajibishwa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa shinyanga?🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Gombea na LIssu ujue hana karama au la.ni wazi ana karama ya fujo, mdomo na makelele
listening to the tones and looking to the body language of the crowed, some one may conclude that there is high intensity of hypocrisy,Dan! Gentromani zile huenda kumbe bado unazo kibindoni😂
View attachment 3202624