Huenda waafrika wengi hawakufikia hatua ya kuitwa homo sapiens

Huenda waafrika wengi hawakufikia hatua ya kuitwa homo sapiens

ranchoboy

Member
Joined
Feb 22, 2022
Posts
46
Reaction score
49
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa JamiiForums nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la BurkinaFaso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweli hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli.

Soma Pia: Burkina Faso inapanga kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini

Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
 
Sijasoma content ila Title yako imekaa kiwaki sana.
 
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa JamiiForums nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la BurkinaFaso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweli hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli.

Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
Naona umerekebisha
 
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa JamiiForums nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la BurkinaFaso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweli hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli.

Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
1728233095854.png



tuko hapa
 
Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
Kichwa Cha habari na kilichoandikwa ktk uzi ni mbingu na ardhi.
 
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa jamiiforum nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la burkina faso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweri hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli. Kwa kweri inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa
Hili swali nimejiuliza sana....yaani kuna mambo ukiyaangalia hayaingii akilini kabisa kama sisi ni binadamu kamili...kama tunavyowaona wanyama wengine na sisi watu weusi tumekosa kabisa ule utashi wa kibinadamu
 
Sijasoma ulichokiandika maana hata heading haieleweki
 
Mimi huwa nafikiria Waafrica (watu weusi) si binadamu. Inawezekana sisi ni higher version ya Masokwe ambao imedhihirika anangalau tunaweza kufundishika tukaelewa na kucommunicate kama binadamu ukilinganisha na jamii ya nyani wengine.
Hapa tulipo tuzidi kuwashukuru Wazungu, tusingekua hapa kama tusingetawaliwa.
LAKINI kwa upande mwingine, ukiangalia Utajiri tulio nao Africa na jamii ya watu wake, kama tusingetawaliwa kabisa wala wageni wasingekuja Africa, huenda tungekua tunaishi kwenye jamii iliyojitengenezea ustaarabu wake hata madini ya thamani yangekua sehemu ya urembo kwenye mavazi yetu.
 
Mdogo. Mdogo tunapiga hatua, waafrika wa 1980 hawalingani na wa 2000.
Japo ujinga ni mwingi baina yetu lakini wakati si wa daima.
 
Nasikia sikia hata TANESCO mnataka kuigawa kws wahindi baada ya kukamilisha ujenzi wa bwawa.
Tujenge bwawa tushindwe kusimika nguzo? Hii Ni zaidi ya laana.
Ni kama mlivyowekeza mabilioni kwenye bandari kisha mkamzawadia mwarabu
 
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa JamiiForums nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la BurkinaFaso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweli hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli.

Soma Pia: Burkina Faso inapanga kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini

Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
JPM alifanya haya kabla, wakamuondoa
 
Wakuu habari za muda huu. Natumaini wote ni wazima. Leo nimejaribu kupita Facebook ukurasa wa JamiiForums nikakutana na habari ya inayo lihusu taifa la BurkinaFaso kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini kwa baadhi ya makampuni ya kigeni na kuanza kuchimba wenyewe

"Tunajua jinsi ya kuchimba dhahabu yetu na sielewi kwa nini tunawaruhusu Makampuni ya Kimataifa kuja na kuchimba,"

Kiukweli hili jambo linatoa faraja na mwanga katika kumkomboa mwafrika kiuchumi. Lakini comment nilizo zikuta duh asilimia kubwa ya watu Wanadharau hatua hizi mpaka najiuliza kiuhalisia kabisa ni sahihi wazungu kuendelea kuwaita manyani huenda SI Kwa nje lakini kiakili waafrika wengi Bado ni manyani na hawakutakiwa kuingia kwenye kundi la homo sapiens hii race apana wapo tayari waishi maisha ya kimaskini kwa kuogopa kifo wako tayari mzungu aendelee kuwa juu kwa kigezo cha amani

Wako tayari kuiba na kuinvest magharibi ili Hali nchi zao Zina umaskini mkubwa Nafikiri hapa siitaji kutoa mifano mingi.

Angalia upande wa kilimo pia najiuliza maswali mengi sana Taifa la Israeli halizidi square meter 21000 na robo tatu ya nchi Yao ni jangwa, Afrika yenye udongo mzuri, mito ya kutosha inawesekanaje ipate misaada ya chakula kutoka Israeli.

Soma Pia: Burkina Faso inapanga kufuta baadhi ya leseni za uchimbaji madini

Kwa kweli inafikirisha sana hapa ninauhakika Africa hawakutakiwa kuitwa homo sapiens heri warudi kutawaliwa labda akili itakaa sawa.
Uzi wako
ni kwa ajili ya kulalamika au kutoa suluhu?Eleweka.
 
Sijasoma content ila Title yako imekaa kiwaki sana.
Moja kwa moja wewe ni Raia feki wa Tanzania....sheria za tanzania za kipumbavu utungwa na raia feki walio jipenyeza serikalini na ccm ...hskuna sababu yoyote kuruhusu uwekezaji wa kigeni kwenye madini ...umeme.... bandari reli nk na mambo yote ya msingi ...
 
Moja kwa moja wewe ni Raia feki wa Tanzania....sheria za tanzania za kipumbavu utungwa na raia feki walio jipenyeza serikalini na ccm ...hskuna sababu yoyote kuruhusu uwekezaji wa kigeni kwenye madini ...umeme.... bandari reli nk na mambo yote ya msingi ...
Wrong quote
 
Back
Top Bottom