Huenda yakawa maneno ya ukweli haya

Nime kuelewa.... Tena n funzo toxha kwa wac o jua kutongoza
 
Bila uongo huwez kumpata mwanamke
 
Sijawahi kudanganya...teh!!
 
Kwa kweli. Ukiwaambia ukweli hawataki, ukiwadanganya wanakubali, wakijua, wanalalamika!!

Viumbe hawa, acha tu!
 

MziziMkavu, sio kwa mademu tu! hata dini hizi zinazokuja sasa hivi with self proclaimed bishops, Nabii, Mtume and the like, wanatumia uongo kupata waumini. Ukisema ukweli haji mtu. Wadanganye kuwa nawaombea kila mmoja atanunua ndege, gari meli, train, watakuja. Waambie kuwa umepewa "Upako" na mungu wa kuponya etc, watakuja kwa wingi.
 
Yani mimi hata sioni uvivu kuvunja uhusiano nikigundua nimedanganywa.
 
Natumia uongo kuingiza Fedha, siwezi kupoteza uongo wangu kwa ajili ya K.
 
ukiona unadanganya kupata dem una mapungufu wewe
 
Nikijua unanidanganya we ni adui yangu, sipendi uongo na sipendi kumuongopea mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…