Huenda yumo humu JF

Huenda yumo humu JF

Judi mama wa hekima,bila hiana shauri,
Kijana mwama wandima,ahitaji si kidari,
atakwenda hata kupima,iwapo kipo kigori,
Heri mwana wewe heri,mpate aliye kimwana,

Sina mengi kwa hilo,mora akupe nguvu,
ushauri kwetu ulo,umpate wako ubavu,
hata kama nyalukolo,wala isiwe mabavu,
heri mwana wewe heri,mpate aliye kimwana,

wapi ulipotelea, ewe nguli wa vina,
vipi umeingilia, tena wanena kichina,
wenzio tunaringia, lugha adhimu jichana
wandima anabugia, sasa asaka msichana
 
wapi ulipotelea, ewe nguli wa vina,
vipi umeingilia, tena wanena kichina,
wenzio tunaringia, ugha adhimu jichana
wandima anabugia, eti bora msichana

Umenikoti vibaya, sikuwahi sema hivyo,
Ningeokota malaya, kama ingekuwa ndivyo,
Eti bora msichana, ntakuwa mtu wa hovyo

Penzilo nishalikosa, nimevikosa vigezo,
Kwa mbali ukanitosa, nshajiona hamnazo,
Kama yuko wa kunikosha, ajitoe kimasomaso.
 
wapi ulipotelea, ewe nguli wa vina,
vipi umeingilia, tena wanena kichina,
wenzio tunaringia, ugha adhimu jichana
wandima anabugia, eti bora msichana

Bora eti msichana, na msichana si bora,
wandima taka jichana,pasipo angalia ubora,
niko mama nahakana,kutaka yangu mi bora,
Mwacheni atake bora,si bora ije mtake,

Kuwakoseni ni haki,jukwaa lililo mwake,
swala lisilo mkiki,la kuoa uwe wake,
wandima si mhakiki,judi magu tuwe nake,
Mwacheni atake bora,si bora ije mtake,

Nakipenda chetu lugha,kiswa kina uhamsu,
wala sija kuwa juha,walahi hata kwa busu,
hutamka hata waha,usukuma mpaka lisu,
Macheni atake bora,si bora ije mtake,
 
wapi ulipotelea, ewe nguli wa vina,
vipi umeingilia, tena wanena kichina,
wenzio tunaringia, lugha adhimu jichana
wandima anabugia, sasa asaka msichana

Umenikoti vibaya, sikuwahi sema hivyo,
Ningeokota malaya, kama ingekuwa ndivyo,
Eti bora msichana, ntakuwa mtu wa hovyo


Penzilo nishalikosa, nimevikosa vigezo,
Kwa mbali ukanitosa, nshajiona hamnazo,
Kama yuko wa kunikosha, ajitoe kimasomaso.

Bora eti msichana, na msichana si bora,
wandima taka jichana,pasipo angalia ubora,
niko mama nahakana,kutaka yangu mi bora,
Mwacheni atake bora,si bora ije mtake,

Kuwakoseni ni haki,jukwaa lililo mwake,
swala lisilo mkiki,la kuoa uwe wake,
wandima si mhakiki,judi magu tuwe nake,
Mwacheni atake bora,si bora ije mtake,

Nakipenda chetu lugha,kiswa kina uhamsu,
wala sija kuwa juha,walahi hata kwa busu,
hutamka hata waha,usukuma mpaka lisu,
Macheni atake bora,si bora ije mtake,

Mbona azidi nisakama, nishamjibu kwa vina,
Ale bora ni hekima, sitaki bora msichana,
Awe msichana mwema, kiwe changu chanda chema
 
Umenikoti vibaya, sikuwahi sema hivyo,
Ningeokota malaya, kama ingekuwa ndivyo,
Eti bora msichana, ntakuwa mtu wa hovyo

Penzilo nishalikosa, nimevikosa vigezo,
Kwa mbali ukanitosa, nshajiona hamnazo,
Kama yuko wa kunikosha, ajitoe kimasomaso.
ni nini kimekusibu, mbona waruka kimanga,
na judi wanisulubu, sababu zako wachonga,
vipi ugeuke bubu, shindwe hata kulonga,
na judi si mwarabu, hawezi hata kuringa?
 
ni nini kimekusibu, mbona waruka kimanga,
na judi wanisulubu, sababu zako wachonga,
vipi ugeuke bubu, shindwe hata kulonga,
na judi si mwarabu, hawezi hata kuringa?

mwenzenu net yagoma, sijui imesibu nini, kasa yajizungusha sana, hadi nimeingia simuni, simu nayo yademadema, chaji yaenda mwishoni, kimeo kikijizima, sitakuwepo jamvini, na umeme wamezima, nna hasira na kisirani.
 
All the best Wa Ndima
Jaribu kuingia makanisani
Mke mwema kumuomba
Jaribu kuhudhuria matamasha
Jishughulishe na mambo ya kijamaa
Wako ulioandikiwa mwenyezi atakupatia
Kwani yeye aliahidi atakufanyia msaidizi wa kufanana na wewe
all the best
 
Back
Top Bottom