Tetesi: Hujuma dhidi ya ACT Wazalendo

Tetesi: Hujuma dhidi ya ACT Wazalendo

ACT kikundi Hatari Sana kwa mustakbali wa Mapinduzi matukufu ya Znz, Muungano wetu Na ushirikiano

Bora kubaki Na Wafanya fujo ndogo ndogo Chadema ambao simetime huwa wanajirudi Kuliko Genge hili lenye ufadhili Mkubwa Sana wa Mabeberu Na Masultan

Ikiwezekana Sasa hivi Tanga lishushwe Na Jahazi lirudishwe Ufukweni
Mbona ACT mmeitengeza wenyewe sasa mmegundua ni mwiba? Sasa subirini mchongoma uchomekwe.
 
moja ya hasara ya mitandao ni kama hii mada, nayo kuitumia kama kinga ya kujihami pale kosa linapofanyika. hapa bwana Chahali umetengeneza mazingira ya ACT kujihami na ikitokea siku ikifutwa uje useme tulisema kulikuwa na mpango wa kuifuta .
Kuna binadamu mna vichwa vigumu sanaa kuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACT kikundi Hatari Sana kwa mustakbali wa Mapinduzi matukufu ya Znz, Muungano wetu Na ushirikiano

Bora kubaki Na Wafanya fujo ndogo ndogo Chadema ambao simetime huwa wanajirudi Kuliko Genge hili lenye ufadhili Mkubwa Sana wa Mabeberu Na Masultan

Ikiwezekana Sasa hivi Tanga lishushwe Na Jahazi lirudishwe Ufukweni
nyie si mmebaki na lipumba tatizo lipo wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshindwa kumaliza andiko ila it is just simple to say Serikali inakosea sana kuzuia sauti ya muungano wa wananchi wanaotafuta ubora wa maisha.

Kaka Chahali sio kila andiko lazima uandike oo mie ni jasusi, ooh, mie TISS Mstaafu. Ukiandika andiko zuri watu watapima kwa uelewa wako na kujua kaandika mtu wa aina gani na mwenye akili gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaathiri vipi wajibu wa taasisi kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka??

Huku kulea lea uzembe ndiko kulikotufanya tuwe hivi tulivyo leo.
 
Chahali umeweza kuwataja akina Nyaulingo na genge lake halafu umewaficha akina Yericko Nyerere,Saidi Kubenea,Nassari na Bulaya,nilikuwa tu nakukumbusha tu kwenye mashindano ya kusoma Quran mwaka huu pale uwanja wa taifa jiwe ni mgeni rasmi ili apige porojo za kampeni 2020 kwake ni rahisi kuwahadaa waislamu wasiojitambua njaa kali huku akiwapa vyeo wasukuma wa kikristo wa kanda ya ziwa kwa kisingizio cha udoctor na professor.


Sent from my iPad using JamiiForums
Kwaiyo Kubenea au Bulaya ndio afisa kamili wa TISS?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshindwa kumaliza andiko ila it is just simple to say Serikali inakosea sana kuzuia sauti ya muungano wa wananchi wanaotafuta ubora wa maisha.

Kaka Chahali sio kila andiko lazima uandike oo mie ni jasusi, ooh, mie TISS Mstaafu. Ukiandika andiko zuri watu watapima kwa uelewa wako na kujua kaandika mtu wa aina gani na mwenye akili gani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu muongo mara nyingi anapenda kujijengea mazingira watu wamuamini. Nilipofika sehem ya yeye kujisifia nkaacha kusoma nkajua tayari huko mbele yamejaa matango pori.

We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
 
Chahali umeweza kuwataja akina Nyaulingo na genge lake halafu umewaficha akina Yericko Nyerere,Saidi Kubenea,Nassari na Bulaya,nilikuwa tu nakukumbusha tu kwenye mashindano ya kusoma Quran mwaka huu pale uwanja wa taifa jiwe ni mgeni rasmi ili apige porojo za kampeni 2020 kwake ni rahisi kuwahadaa waislamu wasiojitambua njaa kali huku akiwapa vyeo wasukuma wa kikristo wa kanda ya ziwa kwa kisingizio cha udoctor na professor.


Sent from my iPad using JamiiForums
Kumbe unawajua Yeriko na kubenea ni watu hatari sana ndani ya chadema kama chama kisipochukua hatua haraka kuwatimua ..


Saidi kubenea Ataamia CCM mda sio mrefu lakini ningekuwa mm ni kiongozi chadema ningemfulusha kabla ajaenda CCM .

Nasari naye yupo mbioni kwenda CCM
 
Kumbe unawajua Yeriko na kubenea ni watu hatari sana ndani ya chadema kama chama kisipochukua hatua haraka kuwatimua ..


Saidi kubenea Ataamia CCM mda sio mrefu lakini ningekuwa mm ni kiongozi chadema ningemfulusha kabla ajaenda CCM .

Nasari naye yupo mbioni kwenda CCM
Acha ramli chonganishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo uwongo, Jiwe ni mdini, tena mdini wa kutupa!
Waislamu wanajua na wanaongea kuhusu hili ila wamemuacha waone mbio zake zitaishia wapi!
Ukiangalia teuzi zake waislamu ni around 10 to 15% basi!. Ameridhika kuwa raisi wa Wakiristo badala ya kujihisi kuwa ni raisi wa watu wote!
Huwa unahangaika sana na hili la udini.
Magufuli mwenyewe ni mkiristo jina,atawabaguaje waislamu?
acheni chokochoko za kijinga na kipumbavu.
Au ninyi na chuki zenu za kigaidi mnataka kila kitu muamue ninyi kiswahili swahili?
Hamia Somalia yenye kila kitu cha dini yako acha kutuzengua na post zako za hovyo hovyo kila ikitajwa dini.
After all huyo Mleta mada naye hana lolote,kazi aliyobaki nayo ni kukisia.
Tanzania ni yetu sote,Tuilinde na kudumisha amani iliyo tunu yetu.
 
Back
Top Bottom