Tetesi: Hujuma dhidi ya ACT Wazalendo

Kwaiyo Kubenea au Bulaya ndio afisa kamili wa TISS?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka mwanahalisi lilivyo tumika utawala wa kikwete kuelezea wizi wa Lowassa bila kumuweka kikwete wakati wote majizi ..

Ulikuwa ni mkakati wa kikwete kumdhoofisha Lowassa wakati anajua dili walipiga wote ili lowassa asiwe tishio la Urais mwaka 2015 na ikafanikiwa ...

Bila kuondoa mamluki ndani ya upinzanzani dola waisahau.
 
Serikali haiwezi kumuhujumu Zitto maana ni mtu wao.
Endelea kuwadanganya wadanganyika
 
Pamoja na mambo mengine, miongoni mwa mikakati ni pamoja na kuwatumia baadhi ya vijana wa Chadema kuzunguka mitandaoni wakipotosha kuwa “muungano” wa Maalim Seif na Zitto ni kazi ya kitengo ili kuibomoa Chadema. Ukizunguka mitandaoni hutoshindwa kumbaini kijana anayeongoza genge hilo
Copy & paste

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ni genge la kigaidi linalofanya siasa kwa mabavu ya dola.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ninapenda niongelee swala linalowahusisha vijana wa chadema kudhoofisha ACT.Ikumbukwe ktk kampeni ya mwaka 2015 Act ilivamiwa na makundi mawili yakiwa na kazi tofauti;Kundi la kwanza lilikuwa ni vijana kutoka ccm ambao baadhi yao walichukuwa uongozi ndani ya Act kwa lengo la kukidhoofisha chama kikuu cha upinzani ambacho ni chadema.Kundi la pili ni vijana kutoka chadema ambao walichukuwa uongozi ndani ya Act kwa lengo la kudhoofisha jitihada za ccm ndani Act ktk kuhakikisha chadema inaendelea kuimarika kwakupindisha mipango dhalimu ya vijana wa sisiemu ndani ya Act kwakupeleka taarifa zote za vikao vya Act kwa chadema.Kwahiyo kwa chadema hadi hivi sasa wale vijana wao bado wapo Act kwa malengo hayohayo,kilichobadilika ni lile Kundi ka kwanza ambalo linatoka sisiemu kwa sasa limebadilishia gia angani kwakuanza kuishambulia Act badala ya kufanya kazi ya awali ya kuiangamiza chadema.Chama imara lazima kiwe na mfumo mzuri wa ujasusi.
 
[emoji23] Chief nimeshare tu, mimi sio mwandishi. Habari hii imeandikwa na Jasusi bobezi linaloishi Uskochi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waislamu wa kipindi hiki ni makada tu, hakuna tena wale waislamu wenye misimamo.

Sasa mtu kama Alhad anaweza akafanya nini kutetea maslahi ya waislamu zaidi ya kwenda kumshangilia Diamond akiwa na mpenzi wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
moja ya hasara ya mitandao ni kama hii mada, nayo kuitumia kama kinga ya kujihami pale kosa linapofanyika. hapa bwana Chahali umetengeneza mazingira ya ACT kujihami na ikitokea siku ikifutwa uje useme tulisema kulikuwa na mpango wa kuifuta .
Mpango mbona uko too obvious ....... Tatizo ni sababu ndiyo ni kama vile haieleweki au wengi bado hatujaiona vizuri. Maana kama ni matokeo tu huwa wanajitangazia jinsi wanavyotaka wenyewe!!
 

Bado kuna kitu hapo bakwata wanajua rais akija kwenye sherehe zozote za kiislamu lazima atatoa mamilion ya pesa kuwapa napesa hizo hazijulikani bakwata huwa wanazifanyia nini raisi hachunguzi kwa hiyo wao bakwata wanamwita rais ili wapate mshiko wagawane hao ndio mashekh eti wakombozi wa waislam NAKUOMBA RAIS SAFARI HII USIWAPE PESA KABISA PIA WAFIKISHE MAHAKAMANI KWA KUUZA VIWANJA VYA WAISLAM NA KULA PESA ZA TAASISI ZA KIISLAMU
 
Watu wanafanya makosa makusudi then wanapotaka kuadhibiwa wanakimbilia mitandaoni kulalamika ili ije kuonekana kulikuwa na mpango wa kuwaadhibu.
Hivii.. alisema anaongeza mishahara lini vileee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…