Hujuma: Nani aliyeiba file la Wawa na Onyango?

Hujuma: Nani aliyeiba file la Wawa na Onyango?

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Kila siku nasema yanga inaonewa sana kwa kweli, imagine mshambuliaji hatari aliyemzidi hata Mohamed Salah kwa magoals kwenye kwalifikesheni za afcon anaonekana kituko Bongo.

Kumbuka mtambo huo wa magoli toka burundi uliposhuka Bongo ulipewa file la wawa na onyango ila habari za uhakika zinasema wallace karia alituma watu wakaiba lile file na hiyo ndiyo sababu iliyomfelisha mtambo huo ulioletwa kuuongezea nguvu mtambo mwingine wa magoli toka Ghana uitwao Michael Sarpong.

2814760_fiston_hakabiki.jpg
 
Kichwa Cha habari na habari yenyewe haviendani

Watanzania tupunguze kulalama kutwa kusiko na kichwa Wala miguu

Majungu na kulalama hakujengi chochote
 
Kichwa Cha habari na habari yenyewe haviendani

Watanzania tupunguze kulalama kutwa kusiko na kichwa Wala miguu

Majungu na kulalama hakujengi chochote
majungu gani bwasheeeee Fiston kachemsha bongo, alipofika alipewa faili la wawa na onyango ,file limepotea kule ndani kulikuwa na mpango mzima wa yeye ku shine bongo
 
Hata ukimleta gucho wa sasa bongo hafanyi kitu, mpora una enzi msajili nayeweka sasa
 
Hilo Hilo gazeti Yikpe alipofika jangwani waliandika "mtambo wa magoli watua jangwani ,magolikipa wa upinzani wajiandae na gloves za chuma"
 
Halafu sehemu ya hilo gazeti niliyoipenda zaidi (chini kwenye angle ya kulia) ni hii :

'Tuna kikosi bora,mvua,jua,ubingwa ni wa Yanga'

Halafu pembeni ya hiyo statement kuna picha ya Utopolo Mkuu amekaa ametoa macho kama bundi anayetaka kuwatisha watoto wasilale vizuri usiku.
 
Halafu sehemu ya hilo gazeti niliyoipenda zaidi (chini kwenye angle ya kulia) ni hii :

'Tuna kikosi bora,mvua,jua,ubingwa ni wa Yanga'

Halafu pembeni ya hiyo statement kuna picha ya Utopolo Mkuu amekaa ametoa macho kama bundi anayetaka kuwatisha watoto wasilale vizuri usiku.
ubingwa ushahinidkana na wote wameshakubaliana ni fitna za karia as long as karia yuko pale yeye ndiye gunia la lawama hata huko CAf wakichemsha lawama kwa tff
 
majungu gani bwasheeeee Fiston kachemsha bongo, alipofika alipewa faili la wawa na onyango ,file limepotea kule ndani kulikuwa na mpango mzima wa yeye ku shine bongo
Shida huyu Fistula sijui alikazania kusoma faili la Wawa na Onyango tu akasahau mafaili ya mabeki wengine.
 
Back
Top Bottom