Hujuma: Nani aliyeiba file la Wawa na Onyango?

Hujuma: Nani aliyeiba file la Wawa na Onyango?

Yani ni Karia tu hakuna mwingine.
Ha ha ha. Jamaa wanastaajabisha sana.
Wanasajiri wao, tena kwa kuwapokea uwanja wa Ndege na kuwabeba machela, pale Karia hawamkumbuki kabisa.
Subiri siku wakifungwa.
Lawama kwa Karia.
Na akili zao wote zinafanana.
 
Kila siku nasema yanga inaonewa sana kwa kweli, imagine mshambuliaji hatari aliyemzidi hata Mohamed Salah kwa magoals kwenye kwalifikesheni za afcon anaonekana kituko Bongo.

Kumbuka mtambo huo wa magoli toka burundi uliposhuka Bongo ulipewa file la wawa na onyango ila habari za uhakika zinasema wallace karia alituma watu wakaiba lile file na hiyo ndiyo sababu iliyomfelisha mtambo huo ulioletwa kuuongezea nguvu mtambo mwingine wa magoli toka Ghana uitwao Michael Sarpong.

View attachment 1825324
Alipewa file la Wawa na Onyango kwani alikuwa anakuja kuwafunga Wawa na Onyango tu ?
 
Alipewa file la Wawa na Onyango kwani alikuwa anakuja kuwafunga Wawa na Onyango tu ?
Hao ndio mikia bro,inabidi uwazoee,timu yao hapo ndio inafanya vizuri kimazabe mazabe but kwa siku wanaanzisha thread hata 10 za Yanga,leo hii wanawaponda fiston na sarpong while wana beki katili toka zimbabwe walilosajili kwa pesa ndefu halafu hata benchi halikai,wqna chikwede waliompora toka azam,vile vile walikua na lokosa fungaji bora huko north africa wakamtimua kimya kimya!
 
Hao ndio mikia bro,inabidi uwazoee,timu yao hapo ndio inafanya vizuri kimazabe mazabe but kwa siku wanaanzisha thread hata 10 za Yanga,leo hii wanawaponda fiston na sarpong while wana beki katili toka zimbabwe walilosajili kwa pesa ndefu halafu hata benchi halikai,wqna chikwede waliompora toka azam,vile vile walikua na lokosa fungaji bora huko north africa wakamtimua kimya kimya!
Utopolo hamuishiwi vitimbwi
 
Hao ndio mikia bro,inabidi uwazoee,timu yao hapo ndio inafanya vizuri kimazabe mazabe but kwa siku wanaanzisha thread hata 10 za Yanga,leo hii wanawaponda fiston na sarpong while wana beki katili toka zimbabwe walilosajili kwa pesa ndefu halafu hata benchi halikai,wqna chikwede waliompora toka azam,vile vile walikua na lokosa fungaji bora huko north africa wakamtimua kimya kimya!
lokosa na muduhwa hawakulipwa hata shilling moja ya usajili mkataba wao ulikuwa wa miezi sita kwa dau l amshahara wa 5,000 usd per month ,simpo sana chikwende ndiye alilipiwa 50,000 usd na anapelekwa kwa mkopo zanaco kwa kubadilishana na moses phiri then luis anauzwa algeria kwa bilioni 1,.3

anakuja kiungo mkabajji tunaongeza na beki wa kushoto luhende toka kagera sugar tushamaliza sasa nyie leteni rundo la wachezaji 15 mwisho wa siku mtupe story za tuwape muda wa kuzoeana mara ghafala Tff na karia wanaanza kulaumiwa.

FYI: simba wachezaji wanapochemsha mashabiki huwa wana deal nao siyo kumlaumu karia, kumbuka moto waliowashiwa zimbwe na manula ujinga waliofanya sumbawanga vs prisons ingawa siku ile refa kakataa penalty mbili clear
 
lokosa na muduhwa hawakulipwa hata shilling moja ya usajili mkataba wao ulikuwa wa miezi sita kwa dau l amshahara wa 5,000 usd per month ,simpo sana chikwende ndiye alilipiwa 50,000 usd na anapelekwa kwa mkopo zanaco kwa kubadilishana na moses phiri then luis anauzwa algeria kwa bilioni 1,.3

anakuja kiungo mkabajji tunaongeza na beki wa kushoto luhende toka kagera sugar tushamaliza sasa nyie leteni rundo la wachezaji 15 mwisho wa siku mtupe story za tuwape muda wa kuzoeana mara ghafala Tff na karia wanaanza kulaumiwa.

FYI: simba wachezaji wanapochemsha mashabiki huwa wana deal nao siyo kumlaumu karia, kumbuka moto waliowashiwa zimbwe na manula ujinga waliofanya sumbawanga vs prisons ingawa siku ile refa kakataa penalty mbili clear
Fiston ana mkataba wa muda gani?yan unatetea flop za mikia! nyie mliingia cha kike na sie tuliingia cha kike,halafu angalia sasa thamani ya timu hizi za k'koo,luis anauzwa b 1.3 wakati kassim dewji kupitia vunja price mmempa biashara ya jezi kwa b 2 na waandishi mkaita
 
Fiston ana mkataba wa muda gani?yan unatetea flop za mikia! nyie mliingia cha kike na sie tuliingia cha kike,halafu angalia sasa thamani ya timu hizi za k'koo,luis anauzwa b 1.3 wakati kassim dewji kupitia vunja price mmempa biashara ya jezi kwa b 2 na waandishi mkaita
wakati lokosa na peter wanakuj auliona magazeti yakisema ni mitambo au mashine?uliona misururu ya kuwpaokea airport?kufeli kwao umesikia lawama zikielekezwa kwa wengine?
MORAL OF THE STORY: JIANGALIENI SANA MAPUNGUFU YENU MKIKOSEA JISAHIHISHENI NA SIYO KUTUPIA LAWAMA WENGINE,MPUMZISHENI KARIA TEAM LENU BOVU SANA NA KOSA LA KUJAZA RUNDO LA WACHEZAJI WAPYA MNALIRUDIA TENA
 
wakati lokosa na peter wanakuj auliona magazeti yakisema ni mitambo au mashine?uliona misururu ya kuwpaokea airport?kufeli kwao umesikia lawama zikielekezwa kwa wengine?
MORAL OF THE STORY: JIANGALIENI SANA MAPUNGUFU YENU MKIKOSEA JISAHIHISHENI NA SIYO KUTUPIA LAWAMA WENGINE,MPUMZISHENI KARIA TEAM LENU BOVU SANA NA KOSA LA KUJAZA RUNDO LA WACHEZAJI WAPYA MNALIRUDIA TENA
Timu yenu nzuri sababu ya spray taifa pale,Yanga tuliminywa sana,sbb ya upumbavu wa mtu m1 kwa mapenzi yake,now tumefunguliwa huyo mtu wenu hawezi kutufanya cct,na ndio maana tumeanza kulianzisha kwa mkia karia alieweka pale na mkia mwenzenu na tumeanza kuliamsha huko huko bungeni,karia atashinda uchaguzi wa august but atokaa kwa amani pale akileta use... wake
 
Timu yenu nzuri sababu ya spray taifa pale,Yanga tuliminywa sana,sbb ya upumbavu wa mtu m1 kwa mapenzi yake,now tumefunguliwa huyo mtu wenu hawezi kutufanya cct,na ndio maana tumeanza kulianzisha kwa mkia karia alieweka pale na mkia mwenzenu na tumeanza kuliamsha huko huko bungeni,karia atashinda uchaguzi wa august but atokaa kwa amani pale akileta use... wake
hapo sasa ndipo mnapofeli,mliwadanganya huo ujinga as vita hadi mkamuacha zahera dsm na kupoteza gemu kule iringa eti simba isiende robo. safari hii hata hawakutaka kuwaskiza
sasa spray na nyie mzitumie hiyo september namuonea huruma sana karia mana kipondo watu watakachochezea huko CAf lawama zitaenda kwake
Nakukumbusha tu namungo ni ya 60 afrika kwa mujibu wa caf usijisahulishe na utopolo mazee ya lawama yako namba 74..shame on you
 
hapo sasa ndipo mnapofeli,mliwadanganya huo ujinga as vita hadi mkamuacha zahera dsm na kupoteza gemu kule iringa eti simba isiende robo. safari hii hata hawakutaka kuwaskiza
sasa spray na nyie mzitumie hiyo september namuonea huruma sana karia mana kipondo watu watakachochezea huko CAf lawama zitaenda kwake
Nakukumbusha tu namungo ni ya 60 afrika kwa mujibu wa caf usijisahulishe na utopolo mazee ya lawama yako namba 74..shame on you
Utelembwe muda utaongea,soon mtaanza safari zenu za fifa,na tutakapoingia kwenye mabadiliko yule mo lazima awakimbie ndio mtakapojua how tulisuffer baada ya kumfanyia figisu manji,
 
Utelembwe muda utaongea,soon mtaanza safari zenu za fifa,na tutakapoingia kwenye mabadiliko yule mo lazima awakimbie ndio mtakapojua how tulisuffer baada ya kumfanyia figisu manji,
safari gani tena wakati kuanzia mwezi ujao mnashushwa daraja hadi daraja la pili? level zenu zitakuwa Rhino rangers ....by the way kumbe ni simba ndo walimfanyia figisu manji??hahahahaha hayo ndiyo ninayosema MAN UP ukiwa na matatizo usipende kusukumizia wengine mna attitude ya kinyonge na kimaskini mnoooo
 
Back
Top Bottom