Hujuma Rasmi: sina hakika kama kufika Desemba Deluxe Dar-Arusha itakuepo tena


Mkuu umeuwaa eti maboksi
kweli ni bora kuwafundisha watoto ingawa wakienda shule nako wanaona mambo tofauti
Na wakikuwa pia wanakuta wako humu humu kwenye takataka tu
 
Kwani treni Dar Arusha huchukua muda gani??
Nauli yenyewe umelipa 8,700 kisha unataka usafirishwe kama umepanda Fresh ya Shamba.

Everyday is Saturday............................... 😎
Umempa za uso.
Arusha Dar Kuna mabasi mengi tu yenye hadhi, jamaa hakuyaona akaamua a sevu hela aje aringishie watu kwenye pombe. Matokeo yake hela yote imeishia njiani kwa kumuungisha kadogosana and co.
 
Kwani Magu si alikuwa anapiga ngoma za kienyeji na kucheza kabisa? Au ile hukuona unaona vya dera tu?
 
Legacy aliyoacha ni kuropoka na kutumia pesa hovyo utafikiria pesa mali yake,ccm walichagua mwehu mwenye file mirembe..mtu unafanya miradi bila mahesabu huku uchumi wa nchi unaporomoka na watu kuzidi kua maskini,kanunua madege kayapaki hayana kazi,heri shetani wenzake walimpenda kuliko ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…