Hukajawahi kuwa na vita vya uchumi Tanzania, Historia iwekwe sawa

Hukajawahi kuwa na vita vya uchumi Tanzania, Historia iwekwe sawa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kuna watu wengi waliwahi kuaminishwa Tanzania iko au imewahi kuwa katika vita vya uchumi au inafanyiwa figisu za uchumi na majirani zake, mataifa ya nje na kampuni za kimataifa. Ukweli ni kwamba hatujawahi kuingia katika vita vya uchumi nchi hii. Mabishano na kutofautiana katika sera za uchumi na uwekezaji sio vita vya uchumi.

Hata wanaoamoni tuliwahi kuwa katika vita vya uchumi ukiwaambia waelezee vita vya uchumi ni nini hawataweza kuelezea watabaki wanatoa macho tu.
 
Huwezi kufanya vita ya uchumi bila ku address dollar hegemony.

William Ruto wa Kenya, pamoja na matatizo yaje yote, anapigana vita ya uchumi kubwa kuliko kiongozi yeyote wa Tanzania wa miaka hii.
 
Kuna watu wengi waliwahi kuaminishwa Tanzania iko au imewahi kuwa katika vita vya uchumi au inafanyiwa figisu za uchumi na majirani zake, mataifa ya nje na kampuni za kimataifa. Ukweli ni kwamba hatujawahi kuingia katika vita vya uchumi nchi hii. Mabishano na kutofautiana katika sera za uchumi na uwekezaji sio vita vya uchumi.

Hata wanaoamoni tuliwahi kuwa katika vita vya uchumi ukiwaambia waelezee vita vya uchumi ni nini hawataweza kuelezea watabaki wanatoa macho tu.
Tunajimwambafai ili tusionekane wanyonge.
 
Back
Top Bottom