Huko duniani Treni ikipinduka kwa uzembe ni sawa na uhujumu uchumi Waziri na CEO wa shirika wanajiuzulu!

Huko duniani Treni ikipinduka kwa uzembe ni sawa na uhujumu uchumi Waziri na CEO wa shirika wanajiuzulu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho.

Nakumbuka Tanzania kuna waziri alijiuzulu enzi ya Mkapa kwa sakata ama la treni au MV Victoria nimesahau kidogo.

Usafiri wa treni siyo sawa na Shabiby bus.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huku ulimwenguni bado tunawatafuta wauza vyuma chakavu na alieleta mafuriko yakazoa kokoto.
 
Tumekusoma .ishu ilikuwa hali ua hewa tu
 
Huko duniani ni kawaida kabisa mtendaji mkuu wa shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho....
Katika utawala wa CCM hakuna utamaduni wa kujiuzulu,watu wanatoa hadi makafara ya watoto wao ili wapate uwaziri leo uwaletee ngonjera za kujiuzulu ili kuwajibika, watakuroga mchana kweupeeeeee.
 
Huku kwetu Kadogosa ametumia hela miezi 3 iliyopita kurekebisha daraja hilo hilo lililokatika tena. Halafu anadunda tu.
 
Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho....
Naona mwaka huu umeamua kuwa mnaa! Hupendezi kwa sifa hiyo kwani waziri na ceo wa trc ni mataga wenzako! Isijekuwa unatafuta uteuzi kwa njia ya ufitini?
 
Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho...
Huko hufanya hivyo kwakuwa Ajali nyingi huwa ni za Uzembe, lakini za kwa wale Wasiondelea Ajali zao nyingi huwa ni za Kutoana Makafara sana.
 
Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho.
Reli ya 1908,imesombwa na maji unataka Nani ajiuzulu,labda serikali yote ilioruhusu uendelee kutumika
Reli ya Kati bado wanatumia signal ya kibendera!hatari sana,Standard gauge huwezi kupata ajali Kama hii,itajizima yenyewe ikigundua mbele reli imelegea
 
Mkurugenzi mkuu anaitwa 'MAGANGA', ungekua wewe wa rombo ungetumbuliwa, sie akina 'kinehe nyanda' tunapeta tu.
 
Aanze mbowe na kashfa ya kula ruzuku mali ya umma
Katika utawala wa CCM hakuna utamaduni wa kujiuzulu,watu wanatoa hadi makafara ya watoto wao ili wapate uwaziri leo uwaletee ngonjera za kujiuzulu ili kuwajibika, watakuroga mchana kweupeeeeee
 
Kwa hiyo akijiuzuru ndiyo tatizo linaisha si ndiyo?
 
Back
Top Bottom