Hapa ndo naamini kila chuo na utaratibu wao kweli! Mimi sisomi SUA so nilikuwa sijui utaratibu wao na kinacho wa cost mwaka wa kwanza wengi ni kuto elekezwa kuhusu hii kitu
hapo ndo utajijua kutokana na stress unaweza kuongeza tena semester ya Pili ukashuka zaidi Kisha kwenu kifupi very difficult! Lower Second Degree huwa Tunaifurahia sana