SAFARINImakanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
Eti ccm na vyama pinzani. Nimecheka alomakanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
Uzuri Yesu ni pendo na anasamehe isingekuwa hivyoShalom ndugu zangu, huko makanisan ni kutamu balaaa, watu wanapelekeana moto hakuna mfano.
Nimeshahudumu kwenye kwaya hivyo michezo yote naijua, tena ukute mwalimu wa kwaya ni(me) na hajaowa basi mabinti wengi hujisogeza hapo ili wapate upendeleo wa kuimba.
mwalimu mwenyewe wa kwaya awe hana hofu ya Mungu wala nini atakongβota mabinti hakuna mfano.
Kuna sisi mameni wenye sauti tamu yaani tunaimba balaaa πππ aiseeeeh tunawala hawa mabinti hakuna mfano.
Kuna wale wachungaji washenzi washenzi aiseeeh wanawala hawa mabinti kuna mmoja aliwatandika mabinti wa kwaya wawili lilipogumburuka akatokomea kusiko kusiko julikana.
Wale masista hawana lolote wanaliwagwa na saundi tu.Hata ukiwa unasali Kila ibada, unajitoa vimichango Kwa buku au buku mbili.....
Kwaya ikipata safari unawabust Kwa buku 5 au 10
Itokee kwaya inakula gambe kama ya parish yetu ya Mt. Avila ukawaungisha Kwa konyagi ndogo.
Tena uwe mkimya.....kama Mimi!!!!!
Utakula Hadi masista
Tumkimbilie Yesu.makanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
Acha mambo ya kigalatia kulingana na Agano jipya nyumba ya Mungu ni mwili wa mtu na Sio jengo wewe hujasoma Sunday school nini?Sio jambo jema kujisifia uzinzi tena mbele ya kanisa unatafuta laana mkuu tubu usifanye mchezo katika nyumba ya Mungu
Tena wepesi sana nishamla mmoja wa huko Kagera.Wale masista hawana lolote wanaliwagwa na saundi tu.
One man downKuna sisi mameni wenye sauti tamu yaani tunaimba balaaa πππ aiseeeeh tunawala hawa mabinti hakuna mfano