Huko makanisani wanakwaya wanakulana hakuna mfano.

Huko makanisani wanakwaya wanakulana hakuna mfano.

makanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
SAFARINI
 
makanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
Eti ccm na vyama pinzani. Nimecheka alo
 
Hata ukiwa unasali Kila ibada, unajitoa vimichango Kwa buku au buku mbili.....

Kwaya ikipata safari unawabust Kwa buku 5 au 10

Itokee kwaya inakula gambe kama ya parish yetu ya Mt. Avila ukawaungisha Kwa konyagi ndogo.

Tena uwe mkimya.....kama Mimi!!!!!

Utakula Hadi masista
 
Shalom ndugu zangu, huko makanisan ni kutamu balaaa, watu wanapelekeana moto hakuna mfano.

Nimeshahudumu kwenye kwaya hivyo michezo yote naijua, tena ukute mwalimu wa kwaya ni(me) na hajaowa basi mabinti wengi hujisogeza hapo ili wapate upendeleo wa kuimba.

mwalimu mwenyewe wa kwaya awe hana hofu ya Mungu wala nini atakong’ota mabinti hakuna mfano.

Kuna sisi mameni wenye sauti tamu yaani tunaimba balaaa 😃😃😃 aiseeeeh tunawala hawa mabinti hakuna mfano.

Kuna wale wachungaji washenzi washenzi aiseeeh wanawala hawa mabinti kuna mmoja aliwatandika mabinti wa kwaya wawili lilipogumburuka akatokomea kusiko kusiko julikana.
Uzuri Yesu ni pendo na anasamehe isingekuwa hivyo
 
Hata ukiwa unasali Kila ibada, unajitoa vimichango Kwa buku au buku mbili.....

Kwaya ikipata safari unawabust Kwa buku 5 au 10

Itokee kwaya inakula gambe kama ya parish yetu ya Mt. Avila ukawaungisha Kwa konyagi ndogo.

Tena uwe mkimya.....kama Mimi!!!!!

Utakula Hadi masista
Wale masista hawana lolote wanaliwagwa na saundi tu.
 
makanisani
madrasa
wanasiasa
bungeni
TISS
polisi
jeshini
hospitalini
masokoni
majumbani
wasanii
wanywasoda
baa
njiani
serikalini
ccm na vyama pinzani
mashuleni
vyuoni
makaburini
misibani
kwenye uchaguzi
ajira
mashambani
vitani
haya sasa ukimbilie wapi?
Tumkimbilie Yesu.
Yupo popote na si kanisani pekee
 
Sio jambo jema kujisifia uzinzi tena mbele ya kanisa unatafuta laana mkuu tubu usifanye mchezo katika nyumba ya Mungu
Acha mambo ya kigalatia kulingana na Agano jipya nyumba ya Mungu ni mwili wa mtu na Sio jengo wewe hujasoma Sunday school nini?
Jengo ni sehemu ya pili try to understand Gospel dude nje ya hapo utakua mental slave sababu utashindwa tofautisha Agano la kale la Wayahudi na Agano jipya la Bwana wetu Yesu Kristo hivyo kwa ushauri ungemwambia kwa upendo kabisa ya kwamba Mungu yupo ndani yake na anamzoom tu anavyo tendea wenzie kitu asichopenda tendewa yeye!
 
Sasa mtu kama Posa boy hana mke unadhani anatomber wapi?
 
ni kila mahali,wabongo tunapenda sex.kijana wenu yule shujaa wa Mbeya alinaswa na tiss kwa ahadi ya kupewa mbunye na mdada mzuuri istagram akajaa mbuzi yule.
 
Back
Top Bottom