HawatabirikiKatiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?...
Kwani kuna Mtanganyika amewahi kuwa spika ama naibu spika wa balaza la wakilishi? na Raisi wa ZFF?Katiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?..
TFF sio ishu ya muungano kasome andiko la muungano bloodyfoolKatiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?...
Kwasababu hawajawahi kugombea. Wangegombea wazanzibar wenye sifa wangepewa tuuKatiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?
Kuna Spika au Naibu spika aliyewahi kutokea Zanzibar?
Huko TFF Ally Saleh ameliamsha, analalamika TFF inambagua katika mchakato wa kumpata Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania
"Zanzibar siyo nchi" by Mizengo Pinda.Katiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?
Kwanini hujauliza kwanini hakuna Mtanganyika amewahi kuwa Rais wa zanzibar au kiongozi yeyote wa Zanzibar .Hata kama katiba hairuhusu kwanini huoni huo ni unyonyaji Kwa watanganyika ambao ni wengi zaidi. Huoni kama katiba ina mapungufu irekebishwe. Huo ni Dalili za uMimi . Yaani changu cha wote na Ila chako chakwako tuu.Katiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?..
"Zanzibar siyo nchi" by Mizengo Pinda.
Huu ndiyo ukweli japo mchungu. Zanzibar siyo nchi, bali Zanzibar ni sawa na mkoa wa Katavi ama mkoa wa Njombe. Sasa Katavi hawajawahi kutoa Spika na hawalalamiki?
Huyo rais wa Zanzibar akija bara anahudhuria kikao cha baraza la mawaziri kama mjumbe tu. Yaani hana tofauti na Dorothy Gwajima.Zanzibar in Rais na wakuu wa mikoa, Katavi haina Rais ni mkoa tu.
Hivi watanganyika si wamebaki wachache sana? TANGANYIKA YENYEWE haijulikani iko wapiKwani kuna Mtanganyika amewahi kuwa spika ama naibu spika wa balaza la wakilishi? na Raisi wa ZFF?
Ushahidi wa kuchomewa biashara ni muhimukuliko blaablaaaa.Wanaharamu hawa, wabara wanachomewa biashara zao zenji, hawaruhusiwi kumiliki nyumba wala ardhi, mambo kibao mbona bada hawasemi?