Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Katiba inaruhusu Mtanzania mwenye asili ya Zanzibar kuwa Spika au Naibu spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano?
Kuna Spika au Naibu spika aliyewahi kutokea Zanzibar?
Huko TFF Ally Saleh ameliamsha, analalamika TFF inambagua katika mchakato wa kumpata Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania
Kuna Spika au Naibu spika aliyewahi kutokea Zanzibar?
Huko TFF Ally Saleh ameliamsha, analalamika TFF inambagua katika mchakato wa kumpata Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania