Huko Ulaya yalikoanzishwa makanisa mengi makuu, Kuna Nchi yoyote ya kikristo ?

Huko Ulaya yalikoanzishwa makanisa mengi makuu, Kuna Nchi yoyote ya kikristo ?

Dini haimpeleki mtu mbinguni, wala kuingia mbinguni siyo jambo la kijumuia, kwamba kwakua wewe ni mkristu au mwislamu basi unaingia mbinguni. JIRATIBU
Dini huwa tunategemea itusaidie kuwa na maadili,

Mfano nchi nyingi ulaya hapo kabla hawakuruhusu mapenzi ya jinsia moja ni wachache walikuwa wanajihusisha kwa siri na aibu, Leo hii hali ni tofauti mpaka Papa wa Vatican anaruhusu kubariki mapenzi ya jinsia moja hii ni hatari sana
 
Ndiyo, kuna nchi nyingi za Kikristo barani Ulaya. Baadhi ya nchi hizo ni pamoja na Italia, Ufaransa, Ujerumani, Uhispania, Uingereza, Poland, na nyinginezo. Ulaya imekuwa kitovu cha Ukristo kwa karne nyingi na imeshuhudia maendeleo makubwa ya dini hiyo katika historia yake.

Kwa hisani ya AI
 
Ndiyo, kuna nchi nyingi za Kikristo barani Ulaya. Baadhi ya nchi hizo ni pamoja na Italia, Ufaransa, Ujerumani, Uhispania, Uingereza, Poland, na nyinginezo. Ulaya imekuwa kitovu cha Ukristo kwa karne nyingi na imeshuhudia maendeleo makubwa ya dini hiyo katika historia yake.

Kwa hisani ya AI
NCHI ZINAZORUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA NI ZA KIKRISTO ?
 
UDINI HAUSIANI NA UFALME WA MBINGU.HAKUNA ANAYEKWENDA MBINGUNI KISA YEYE NI MWISILAMU AU MKRISTO.MSAFIRI WA MBINGUNI NI YULE ASHIKIYE AMRI ZA MUNGU NA KUTEMBEA KTK KANUNI ZAKE NA SI VINGENEVYO
 
UDINI HAUSIANI NA UFALME WA MBINGU.HAKUNA ANAYEKWENDA MBINGUNI KISA YEYE NI MWISILAMU AU MKRISTO.MSAFIRI WA MBINGUNI NI YULE ASHIKIYE AMRI ZA MUNGU NA KUTEMBEA KTK KANUNI ZAKE NA SI VINGENEVYO
Dini ina kazi nyingi sana ikiwemo kusimamia maadili, Ni sehemu ambayo inaangaliwa zaidi kwenye maadili.

Kuna hatari kubwa sana dini ikianza kubariki vitu visivyo na maadili hasa katika ngazi ya kitaifa.

Mfano Papa Francis kasema viongozi wa kiafrika hawapo tayari kutekeleza agizo lake la kubariki wapenzi wa jinsia moja lakini kwa nchi za ulaya wao hawajaafiki, hali hii inafanya watu waone mapenzi ya jinsia moja ni kitu kinachoweza kupewa baraka na kuwahamasisha wawe kwenye haya mahusiano
 
Dini huwa tunategemea itusaidie kuwa na maadili,

Mfano nchi nyingi ulaya hapo kabla hawakuruhusu mapenzi ya jinsia moja ni wachache walikuwa wanajihusisha kwa siri na aibu, Leo hii hali ni tofauti mpaka Papa wa Vatican anaruhusu kubariki mapenzi ya jinsia moja hii ni hatari sana
Unajua wafia dini kuna kitu hamuelewi!
Mtu kutokuwa mtu wa kidini haina maana kuwa yeye ni mtenda maovu!
Mtu anaweza akawa haendi kanisani wala msikitini na akawa mtenda mema!
Sasa wenzetu mlivyokuwa na akili mbuzi mkisikia mtu siyo wa kidini tayari mnawaza atakuwa mwizi, jambazi shoga n.k

Mimi kuna sehemu yaliibuka mazungumzo ya kidini (wakristo na waislamu wanapigizana makelele, hawa wanasema Dini yao iko sawa, hawa nao wanasema ndiyo wako sawa)
Mimi nikasema nyie wote mnalumbana bure, Mungu hayupo!

Cha kushangaza wote wakanigeukia na kusema nyie ndiyo majambazi wenyewe! Unasema Mungu hayupo?

Nilisikitika sana nikasema bado tuna safari ndefu.
 
Unajua wafia dini kuna kitu hamuelewi!
Mtu kutokuwa mtu wa kidini haina maana kuwa yeye ni mtenda maovu!
Mtu anaweza akawa haendi kanisani wala msikitini na akawa mtenda mema!
Sasa wenzetu mlivyokuwa na akili mbuzi mkisikia mtu siyo wa kidini tayari mnawaza atakuwa mwizi, jambazi shoga n.k

Mimi kuna sehemu yaliibuka mazungumzo ya kidini (wakristo na waislamu wanapigizana makelele, hawa wanasema Dini yao iko sawa, hawa nao wanasema ndiyo wako sawa)
Mimi nikasema nyie wote mnalumbana bure, Mungu hayupo!

Cha kushangaza wote wakanigeukia na kusema nyie ndiyo majambazi wenyewe! Unasema Mungu hayupo?

Nilisikitika sana nikasema bado tuna safari ndefu.
Mimi mkristo kabisa tena msabato huu ni mjadala general tu, huna haja ya kuwahusisha waislam.

Hebu naomba unijibu, Nchi kama Italia inaruhusu ushoga na inaruhusu biashara ya kurekodi filamu za X, inapata sifa zipi za kuitwa nchi ya kikritso
 
Ndiyo, kuna nchi nyingi za Kikristo barani Ulaya. Baadhi ya nchi hizo ni pamoja na Italia, Ufaransa, Ujerumani, Uhispania, Uingereza, Poland, na nyinginezo. Ulaya imekuwa kitovu cha Ukristo kwa karne nyingi na imeshuhudia maendeleo makubwa ya dini hiyo katika historia yake.

Kwa hisani ya AI
Scandinavian countries nyingi ni nchi za Kikristo na hasa dhehebu la Lutheran.
 
Mimi mkristo kabisa tena msabato huu ni mjadala general tu, huna haja ya kuwahusisha waislam.

Hebu naomba unijibu, Nchi kama Italia inaruhusu ushoga na inaruhusu biashara ya kurekodi filamu za X, inapata sifa zipi za kuitwa nchi ya kikritso
Mpaka hapa sijajua point yako ni ni ipi!
Watakao elewa point yako watakupa ufafanuzi!
 
Yesu mwenyewe ukichimba pale alipozaliwa ni uarabuni basi tu ukaidi wa wanadamu kukimbia vivuli vyao,hilo Kwa DNA mpaka utamaduni
 
Mimi mkristo kabisa tena msabato huu ni mjadala general tu, huna haja ya kuwahusisha waislam.

Hebu naomba unijibu, Nchi kama Italia inaruhusu ushoga na inaruhusu biashara ya kurekodi filamu za X, inapata sifa zipi za kuitwa nchi ya kikritso
Wasabato wabishi sana yaani ulivosema tu msabato basi napita hivi
 
Hakuna nchi za kikristo ulaya ukiondoa Vatican ila kuna nchi zenye raia wengi wa kikristo licha ya kwamba wanapungua kwa kasi na kubaki wakristo majina tu.

Hizo zama za Kanisa ulaya wamekwisha ondoka toka karne nyingi huko nyuma
 
Ni za kiislamu.
1707437521238.png
 
Kuna nchi yoyote ulaya ya kikristo ?

Nimewahi kufuatilia Italia lakini nikaja kugundua wanaruhusu mahusiano yaliyokatazwa pia wanaruhusu kutengeneza filamu chafu

Sheria za Dunia hazina hazitbuliki kwa mwenyezimungu. Ndomana huwez kuta wakristo wakimpigania Mungu cis Mungu ana uwezo na anajitoshezea yeye kuwapigia nyinyi.

Mkrito anaamini watu wote ni wa Mungu, anapaswa kukupenda na kukujali, Mungu anapokea madhaifu yako ikiwa uko tayari kumpokea.

Ndomana kanisani wanakumbia njoo kama ulivyo
 
Back
Top Bottom