Huko Ulaya yalikoanzishwa makanisa mengi makuu, Kuna Nchi yoyote ya kikristo ?

Huko Ulaya yalikoanzishwa makanisa mengi makuu, Kuna Nchi yoyote ya kikristo ?

Dini huwa tunategemea itusaidie kuwa na maadili,

Mfano nchi nyingi ulaya hapo kabla hawakuruhusu mapenzi ya jinsia moja ni wachache walikuwa wanajihusisha kwa siri na aibu, Leo hii hali ni tofauti mpaka Papa wa Vatican anaruhusu kubariki mapenzi ya jinsia moja hii ni hatari sana
Si kwamba ukiwa mpagani basi wewe ni mwizi, mpenda ngono holela na mambo mengine yasiyofaa, unaweza ukawa mtiifu kuliko shehe au padri kulingana na ulivyojijenga kitabia.
 
NCHI ZINAZORUHUSU MAPENZI YA JINSIA MOJA NI ZA KIKRISTO ?
Hayo Mapenzi ya jinsia moja yanafanywa na Nchi au na watu wachache?

Hizo ni nchi za kikristo na Waasisi wa Uanglican, Ulutheri n.k

Kwani kwenye nchi za kikristo ndio hakuna dhambi?
 
Dini haimpeleki mtu mbinguni, wala kuingia mbinguni siyo jambo la kijumuia, kwamba kwakua wewe ni mkristu au mwislamu basi unaingia mbinguni. JIRATIBU
hiyo mbingu yenyewe kwanza ipo?....ipo wapi?...nionyeshwe physically nihamie hata leo.
 
Mimi mkristo kabisa tena msabato huu ni mjadala general tu, huna haja ya kuwahusisha waislam.

Hebu naomba unijibu, Nchi kama Italia inaruhusu ushoga na inaruhusu biashara ya kurekodi filamu za X, inapata sifa zipi za kuitwa nchi ya kikritso
Wewe sasa ndo upo chaka sana
 
Ukristo ndo dini pekee inayopambana na Shetani duniani aya mambo yote ya ushogo makanisani ni Vita ya Shetani lakini kanisa bado litasimama imara.
 
Back
Top Bottom