Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
2800 TangaLeo nilibahatika kununua kg ya maharage ya njano na nimeshangaa sana kuambiwa ni shs 3400 kg moja.
Serikali ijaribu hili la kuangalia bei za vitu zizpande at a skyrocketing rate watu masikini wanaumia sana na watakosa milo iliyokamilika. Nawasilisha
Maharage ya aina gani?2200 mbeya
Maini na kablangetiš„“Maharage ya aina gani?
Tanzania hakuna maskini wewe, hao unaoita maskini hupigana kununua jezi za Simba na Yanga.Leo nilibahatika kununua kg ya maharage ya njano na nimeshangaa sana kuambiwa ni shs 3400 kg moja.
Serikali ijaribu hili la kuangalia bei za vitu zizpande at a skyrocketing rate watu masikini wanaumia sana na watakosa milo iliyokamilika. Nawasilisha
Aisee na yanapatatikana kabisa nahitaji debe 20Maini na kablangetiš„“
Ndo uje sasa...Aisee na yanapatatikana kabisa nahitaji debe 20
Nipo mbalizi hapa niletee mzigo kwa hiyo beiNdo uje sasa...