To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Mi ni mwalimu siyo muuza maharagweNipo mbalizi hapa niletee mzigo kwa hiyo bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ni mwalimu siyo muuza maharagweNipo mbalizi hapa niletee mzigo kwa hiyo bei
Sasa kwa nini umeweka bei ya uongo? Unadhalilisha taaluma yako.Mi ni mwalimu siyo muuza maharagwe
Ndiyo bei halisi ....sijui kwenu huko....Sasa kwa nini umeweka bei ya uongo? Unadhalilisha taaluma yako.
Tena kwenu hiyo bado ni ndogo inatakiwa ianzie 6,000 kupanda juu labd ndipo mtasikia maumivu, simnajifanya mnazo.Leo nilibahatika kununua kg ya maharage ya njano na nimeshangaa sana kuambiwa ni shs 3400 kg moja.
Serikali ijaribu hili la kuangalia bei za vitu zizpande at a skyrocketing rate watu masikini wanaumia sana na watakosa milo iliyokamilika.
Nawasilisha
soko lipi?Leo nilibahatika kununua kg ya maharage ya njano na nimeshangaa sana kuambiwa ni shs 3400 kg moja.
Serikali ijaribu hili la kuangalia bei za vitu zizpande at a skyrocketing rate watu masikini wanaumia sana na watakosa milo iliyokamilika.
Nawasilisha