Huyu Genius wa kuzaliwa, mwaka 2008 alifanya ugunduzi wake mwenyewe, kuweza kubadilisha mawimbi ya radio na kua umeme .
Mawimbi ya redio hayabebi nishati ya kutosha kuendesha gari na ndio maana hata website ya rais wa Zimbabwe imefuta video za rais akiwa na bwana Maxwell maana ni tapeliHata yeye hajaumba wala kuiharibu Energy. Amebadilisha matumizi, sawa na sola. Mwanga wa JUA unazalisha umeme. Na yeye katumia iliyoko kwenye energy ya mawimbi ya redio kuendesha gari. Ujanja ni namna ya kuyabadili hiyo nguvu ndani ya mawimbi iweze kusukuma mitambo ikiwapo magari na hata baadae viwanda,. Je unajua giza ni mojawapo ya energy? Itafika muda vyombo vya utafiti vitatumia nguvu hiyo kupeleka wanaanga huko pamoja na utafiti anga za mbali. Hata hizo mawimbi ya radio yatafikisha wanadamu mbali maana YAPO KILA MAHALI.
Jamaa ni tapeliHivi hili si tulishaliongelea humu na uwezekano mkubwa kwamba jamaa ni Scam Artist ?
Ila ndio hivyo binadamu we never ask why and using logic is beyond us; anyway jiulize since then kwanini bado product hazipo sokoni ?
Physician, heal thyself; Yaani na kuhangaika na mgao na Matatizo ya Nishati huko nchini kwake kwanini asianze kuwasaidia wao huko kabla ya kuanza kuhangaika na kuhaha kwa kina Tesla ?
those corrupt politicians will rat this poor boy to the capitalists!!!Wakuu,
Wakati Tanzania inapambana na kina Dotto Magari, Mwijaku na Dr Kumbuka, huko Zimbabwe watu wameendelea kufanya uvumbuzi wa vitu vya maana.
Huko Zimbabwe kuna kijana mmoja anayejulikana kama Maxwell Sangulani Chikumbuts, ametengeneza moja ya magari ya kwanza duniani ambayo hayahitaji mafuta, kuchaji, au chanzo chochote cha nishati kutoka nje.
Gari hiyo inayojulikana kama Saith FEV ni gari la umeme linalojiendesha lenyewe kwa kutumia mawimbi ya redio pekee kama chanzo chake cha nishati
Huyu jamaa pia ndiye aliyevumbua televisheni isiyotumia waya mwaka 2022 na ambayo inafanya kazi bila kutumia umeme.
Tanzania tunakwama wapi?
Ila watu yaani wanapenda kuamini amini tu kila kitu, sisemi kwamba watu wapinge kila kitu ila inquisitive minds ni kuangalia how na hata wasipojua how basi hata wachanganye na za kwao na ukimix na logic utaona kwamba hapa kuna walakini..., Ni sawa na mtu anakufa kwa kiu alafu anasema anauza dawa ya kutengeneza majiJamaa ni tapeli
Waafrika kutulisha matangopori ni kazi rahisi sanaIla watu yaani wanapenda kuamini amini tu kila kitu, sisemi kwamba watu wapinge kila kitu ila inquisitive minds ni kuangalia how na hata wasipojua how basi hata wachanganye na za kwao na ukimix na logic utaona kwamba hapa kuna walakini..., Ni sawa na mtu anakufa kwa kiu alafu anasema anauza dawa ya kutengeneza maji
Sasa anangoja nini kufanya badala ya kupiga brah brah brah miaka nenda miaka rudi...; Sometimes let the doing do the talking..., talking zikiwa nyingi tambua hapo kuna walakiniHuenda jamaa ni miongoni mwawanafunzi wa shule ya ariel waliotembelewa na ufo miaka ya nyuma.
Hata gari ya kusukuma inatumia nishati. Ya msukumaji kama ni binadamuChombo cha usafiri kisichotumia nishati ni baiskeli na parachute. Kama ni gari lisilotumia nishati yoyote basi ni la kusukuma