Huko Zimbabwe kuna kijana amegundua gari lisilotumia umeme, mafuta au nishati yoyote kutoka nje. Inawezekana vipi?

Huko Zimbabwe kuna kijana amegundua gari lisilotumia umeme, mafuta au nishati yoyote kutoka nje. Inawezekana vipi?

Nchi yangu inadharau sana wataalamu wake na kuamini kila kitu kizuri lazima kiletwe na ngozi nyeupe,vinginevyo hakifai
Mfano yule mzee wa kipare aliyeunda mtambo wake wa kuzalisha umeme usio wa maji,upepo,jua wala mafuta ,tanesco wamechangia kumpoteza kabisa huyu mpare wakati ambao angekua msaada mkubwa sana kwa taifa
 
Hana maisha marefu. Hakuna tofauti na wale wanaofanya ugunduzi wa engine za gari zinazotumia maji pekee bila nishati nyingine. Lazima wapotee
Huyu Genius wa kuzaliwa, mwaka 2008 alifanya ugunduzi wake mwenyewe, kuweza kubadilisha mawimbi ya radio na kua umeme .

Ikumbukwe mawimbi ya redio sio energy , Kwa hiyo Ile First law of thermodynamics inayosema 'Energy can not be created nor destroyed' jamaa kaenda kinyume nayo.

Yeye kaamua kutumia mawimbi ya radio na kuyatengeneza kua Umeme.

Mwaka 2017 , akiwa Marekan na Mwenzake wakiendelea kuwathibitishia wanasayansi juu ya ugunduzi wake, jamaa walipewa Sumu, Mungu tu akamponya yeye, na rafikie Akafa, Jamaa anastuka anarudi Zimbambwe kwao.


Anaungana na Kampuni la Wachina, Sasa habari mbaya Kwa Makampuni yanayotengeneza Magari, Ndege Kwa aina zote, vyombo vya moto Kwa aina zake n.k wanaotegemea Mafuta, Gesi, Umeme wa kuchaji , Maxwell sasa kaja na Magari yasotumia umeme Wala gesi wala hauchaji yaan Gari lako nikama mwanadamu tu anayetumia Oxygen kuishi bila hata kuilipia !!.


Huyu Mzimbabwe , anaenda kua Mwanadamu wa kwanza, kua mvumbuzi wa Teknolojia hii mpya hapa Duniani , Hamna popote pale hapa Duniani Teknolojia kama hii!!.

Mwenyewe anaiita "Microsonic Energy"


View: https://youtu.be/WhWQbksw1pY?si=zYGsHTCVP-mdpNz2
 
Nchi yangu inadharau sana wataalamu wake na kuamini kila kitu kizuri lazima kiletwe na ngozi nyeupe,vinginevyo hakifai
Mfano yule mzee wa kipare aliyeunda mtambo wake wa kuzalisha umeme usio wa maji,upepo,jua wala mafuta ,tanesco wamechangia kumpoteza kabisa huyu mpare wakati ambao angekua msaada mkubwa sana kwa taifa
Kuna yule Dogo alokuja na Mfumo wa kupiga kura Kwa mtandao.


Sijui hata yuko wapi
 
Nchi yangu inadharau sana wataalamu wake na kuamini kila kitu kizuri lazima kiletwe na ngozi nyeupe,vinginevyo hakifai
Mfano yule mzee wa kipare aliyeunda mtambo wake wa kuzalisha umeme usio wa maji,upepo,jua wala mafuta ,tanesco wamechangia kumpoteza kabisa huyu mpare wakati ambao angekua msaada mkubwa sana kwa taifa
Kweli kabisa Mzee hasikiki tena
 
Tatizo sio kuuza Magari, tatizo ni Teknolojia yake ambayo haipatikan popote pale Duniani na Wazungu mpaka sasa wameshindwa kupata jibu inakuaje , inakuaje MTU atengeneze energy from unknown source??.
Na bado hawajashangaa,burkina faso nae anaingia kwenye soko la magari ya umeme
Biashara ya magari africa sasa watuachie waafrika wenyewe
 
Huyu Genius wa kuzaliwa, mwaka 2008 , alifanya ugunduzi wake mwenyewe, kuweza kubadilisha mawimbi ya radio na kua umeme .

Ikumbukwe mawimbi ya redio sio energy , Kwa hiyo Ile First law of thermodynamics inayosema 'Energy can not be created nor destroyed' jamaa kaenda kinyume nayo.

Yeye kaamua kutumia mawimbi ya radio na kuyatengeneza kua Umeme.

Mwaka 2017 , akiwa Marekan na Mwenzake wakiendelea kuwathibitishia wanasayansi juu ya ugunduzi wake, jamaa walipewa Sumu, Mungu tu akamponya yeye, na rafikie Akafa, Jamaa anastuka anarudi Zimbambwe kwao.


Anaungana na Kampuni la Wachina, Sasa habari mbaya Kwa Makampuni yanayotengeneza Magari, Ndege Kwa aina zote, vyombo vya moto Kwa aina zake n.k wanaotegemea Mafuta, Gesi, Umeme wa kuchaji , Maxwell sasa kaja na Magari yasotumia umeme Wala gesi wala hauchaji yaan Gari lako nikama mwanadamu tu anayetumia Oxygen kuishi bila hata kuilipia !!.


Huyu Mzimbabwe , anaenda kua Mwanadamu wa kwanza, kua mvumbuzi wa Teknolojia hii mpya hapa Duniani , Hamna popote pale hapa Duniani Teknolojia kama hii!!.

Mwenyewe anaiita "Microsonic Energy"


View: https://youtu.be/WhWQbksw1pY?si=zYGsHTCVP-mdpNz2

Hata yeye hajaumba wala kuiharibu Energy. Amebadilisha matumizi, sawa na sola. Mwanga wa JUA unazalisha umeme. Na yeye katumia iliyoko kwenye energy ya mawimbi ya redio kuendesha gari. Ujanja ni namna ya kuyabadili hiyo nguvu ndani ya mawimbi iweze kusukuma mitambo ikiwapo magari na hata baadae viwanda,. Je unajua giza ni mojawapo ya energy? Itafika muda vyombo vya utafiti vitatumia nguvu hiyo kupeleka wanaanga huko pamoja na utafiti anga za mbali. Hata hizo mawimbi ya radio yatafikisha wanadamu mbali maana YAPO KILA MAHALI.
 
Huyu Genius wa kuzaliwa, mwaka 2008 alifanya ugunduzi wake mwenyewe, kuweza kubadilisha mawimbi ya radio na kua umeme .

Ikumbukwe mawimbi ya redio sio energy , Kwa hiyo Ile First law of thermodynamics inayosema 'Energy can not be created nor destroyed' jamaa kaenda kinyume nayo.

Yeye kaamua kutumia mawimbi ya radio na kuyatengeneza kua Umeme.

Mwaka 2017 , akiwa Marekan na Mwenzake wakiendelea kuwathibitishia wanasayansi juu ya ugunduzi wake, jamaa walipewa Sumu, Mungu tu akamponya yeye, na rafikie Akafa, Jamaa anastuka anarudi Zimbambwe kwao.


Anaungana na Kampuni la Wachina, Sasa habari mbaya Kwa Makampuni yanayotengeneza Magari, Ndege Kwa aina zote, vyombo vya moto Kwa aina zake n.k wanaotegemea Mafuta, Gesi, Umeme wa kuchaji , Maxwell sasa kaja na Magari yasotumia umeme Wala gesi wala hauchaji yaan Gari lako nikama mwanadamu tu anayetumia Oxygen kuishi bila hata kuilipia !!.


Huyu Mzimbabwe , anaenda kua Mwanadamu wa kwanza, kua mvumbuzi wa Teknolojia hii mpya hapa Duniani , Hamna popote pale hapa Duniani Teknolojia kama hii!!.

Mwenyewe anaiita "Microsonic Energy"


View: https://youtu.be/WhWQbksw1pY?si=zYGsHTCVP-mdpNz2

Mkuu TESLA, Wachina na Ulaya ni kweli wameshtushwa Sana?
 
Back
Top Bottom