Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Jamani, jamani... habari za weekend..!!
Yamenikuta, kuna mrembo mmoja mkali sanaaa... mweusii, kaumbika boom boom... bang bang, kabang kabang kweli... mweusii, aged 29 hv... i know her kwa miaka kama 6 hv..!!
Sasa, kumbee, i was not much into her, kumbe yeye kafa kaoza, but i was just taking her kama rafiki tu.. nachat nae kwa sms, few days in a week ananipigia labda mara moja kwa wiki..!!
Mara kuna siku akaniambia naringa sana tu, nikamwambia kwann.? akasema ulivyo HB unaona kama wanawake hawana maana vile.. nikamwambia mawazo yako tu..!!
Jana, saa 4 asubuhi, kanikomalia kweli anataka niwe mpenzi wake... nikamwambia duuh hilo mm siwezi, nina mchumba..
Akaniambia ww mwanaume nakujua miaka huna mwanamke, ningemuona ktk mitandao yako, ila sijawahi ona.. basi, ikaeenda, akakomaa... akaniambia kuwa kwnn simpendi..?
Nikampa live, sikia bibie, mm napenda mwanamke mweupee, au halfcast kama mm, awe mrefu kama mm au wastani hv, na ana ta.ko lazima kajazia hv au sana.. na tayari niko na mtu wa hivyo.. ndio sijamweka wazi.. ila ndio mchumba wangu.. mm sipendi mwanamke mweusi bana..!! Niseme kweli, sipendi mweusi, na sijawahi kukutongoza jamani..
Akasema ni mwanamke yupi huyo..? nikampa jina na FB account yake, akaamini... akaniona niko nae huyo mdada..!! na kwangu anakuja, na some pics kapigia home kwangu tukiwa wote many times and different places za matanuzi weekend baada ya kazi za wiki kutuliza mawazo..
Sasa, wee kanifungia kila mtandao.. akanitumie sms ya mwisho USINITAFUTE MM SINTAKUTAFUTA TENA MAISHANI...!! Umeniumiza sana..!!
Jamani, hivi ukisema kweli kumbe ni shida hivi..!!
Safari njemaa black beauty R......e..!! Maisha mema nakutakia, utampata tu mwanaume mwingine..!! Mimi nina mchumba tayari..
Weekend njemaaaa..!!
Yamenikuta, kuna mrembo mmoja mkali sanaaa... mweusii, kaumbika boom boom... bang bang, kabang kabang kweli... mweusii, aged 29 hv... i know her kwa miaka kama 6 hv..!!
Sasa, kumbee, i was not much into her, kumbe yeye kafa kaoza, but i was just taking her kama rafiki tu.. nachat nae kwa sms, few days in a week ananipigia labda mara moja kwa wiki..!!
Mara kuna siku akaniambia naringa sana tu, nikamwambia kwann.? akasema ulivyo HB unaona kama wanawake hawana maana vile.. nikamwambia mawazo yako tu..!!
Jana, saa 4 asubuhi, kanikomalia kweli anataka niwe mpenzi wake... nikamwambia duuh hilo mm siwezi, nina mchumba..
Akaniambia ww mwanaume nakujua miaka huna mwanamke, ningemuona ktk mitandao yako, ila sijawahi ona.. basi, ikaeenda, akakomaa... akaniambia kuwa kwnn simpendi..?
Nikampa live, sikia bibie, mm napenda mwanamke mweupee, au halfcast kama mm, awe mrefu kama mm au wastani hv, na ana ta.ko lazima kajazia hv au sana.. na tayari niko na mtu wa hivyo.. ndio sijamweka wazi.. ila ndio mchumba wangu.. mm sipendi mwanamke mweusi bana..!! Niseme kweli, sipendi mweusi, na sijawahi kukutongoza jamani..
Akasema ni mwanamke yupi huyo..? nikampa jina na FB account yake, akaamini... akaniona niko nae huyo mdada..!! na kwangu anakuja, na some pics kapigia home kwangu tukiwa wote many times and different places za matanuzi weekend baada ya kazi za wiki kutuliza mawazo..
Sasa, wee kanifungia kila mtandao.. akanitumie sms ya mwisho USINITAFUTE MM SINTAKUTAFUTA TENA MAISHANI...!! Umeniumiza sana..!!
Jamani, hivi ukisema kweli kumbe ni shida hivi..!!
Safari njemaa black beauty R......e..!! Maisha mema nakutakia, utampata tu mwanaume mwingine..!! Mimi nina mchumba tayari..
Weekend njemaaaa..!!