Watu wanamwaga povu kisa Diamond na baadhi ya wasanii wamejitokeza kuipigia kampeni CCM na madai yao ni kwamba wasanii ni wasaliti wa mabadiliko!! Guys, are serious?! Hivi ni kwamba hatufahamu kwamba wasanii kazi zao za sanaa ndo biashara yao, au? Ikiwa Diamond na wenzake ni wasaliti, what about Reginald Mengi, Bakhresa na wenzake ambao wametumia vituo vyao vya TV kutangaza kampeni za CCM nchi nzima? Kama kinachotusukuma sio ulimbukeni wa kisiasa mbona hatujitokezi kuwashambulia akina Mengi wanaotumia media zao kuitangaza CCM?
Wapo watakaosema kwamba akina Diamond ni vijana, so walitakiwa kuyaunga mkono mageuzi... kama ndivyo, je kuna vijana wangapi walioachia ngazi kwenye hizo TV Stations kv tu hawakutaka kufanikisha zoezi hilo? Hivi mngekuwa nyinyi ndo wanamuziki halafu mkapewa mchongo na CCM, hivi kweli mngekataa au mnataka wenzenu ndo wakatae? Hivi leo hii CCM wakienda kukodi ukumbi wa Club Billicanas mnatarajia Mbowe atakataa?! Kuna wengine eti wanahamasisha watu kususia kazi za wasanii... kwanini wasisusie biadhaa za watu kama akina Bakheresa? Hivi kabla mtu hujajishughulisha kupiga kampeni ya kususia kazi za wasanii, umeshajiuliza mwaka huu umetumia shilingi ngapi kununua kazi zao zaidi ya kwenda kupiga yowe kwenye pages zao contrary na pesa ulizotumia mwaka huu kununua bidhaa za akina Bakheresa, Mengi, Diallo na wenzake?
Wala hapahitajiki shahada ya chuo kikuu kufahamu kwamba hakuna msanii hata mmoja (ukiondoa wale walio jukwaa la siasa moja kwa moja) ambae angeweza kupewa mchongo na CCM halafu akakataa... HAKUNA! Mtu kama Ali Kiba hakuonekana, mosi inawezekana mchongo hakuupata au inawezekana vilevile muda wake bado coz' kampeni ndo kwanza zimefunguliwa! Au inawezekana CCM hawakuona sababu ya kuwachukua mafahari wote wawili but there's no way kwamba amekataa! Na akiwa alipewa mchongo na akakataa wala sina sababu ya kumsifia zaidi ya kumuona ni mpumbavu coz' yeye muziki ndo kazi yake... unapofanya biashara huwezi kuchagua mteja!
Wanasiasa wenyewe wapo kimaslahi zaidi kwahiyo ni kiroja kuwataka wasanii ndo wawe "wazalendo" zaidi lakini wengine wote business as usual!! Hivi hatujiulizi ni kwanini hata hao UKAWA linapokuja suala la posho bungeni huwa wanaongea lugha moja na CCM? Ni nini kama sio all about maslahi ya mifuko yao? Sasa how come mtake wasanii pekee ndo wa-sacrifice!! Hivi leo hii CCM wanapojisifia kwamba tumefanya hiki au kile; hizo kazi zinafanywa na nani kama sio na sisi sisi? Hivi leo hii vijana wooooooooote wakisusa kufanya kazi serikalini, je serikali itabaki madarakani angalau kwa wiki moja kabla ya kuporomoka? Kwanini tusianze sisi wenyewe kususia kufanya kazi na serikali ya CCM?
Wapo watakaosema wasanii hawakutakiwa kuchukua upande kwavile wana mashabiki wenye itikadi mbalimbali! Kauli kama hizo ni za kinafiki coz' najua wengi wao kama sio wote tatizo sio msanii kuchukua upande bali msanii kuchukua upande ambao yeye (shabiki) hauungi mkono! Tunachotaka tunachounga sisi mkono ndicho na yeye (msanii) aunge... eh! Kama msanii fulani humpendi basi akiunga mkono chama usichokipenda ndo anakufanya umchukie zaidi... MAAJABU HAYA!
Tangu niingie JF miaka kadhaa iliyopita sijawahi kubadili msimamo wangu kwamba CCM na UPINZANI wote ni wale wale tu... wote ni WEZI tu!
ENDELEENI KUPIGA SIASA ZA KWENYE SOCIAL MEDIA WAKATI WENZENU WANAPIGA PESA... Recall Sugu Vs Ruge saga! Na kama unatarajia akiingia madarakani fulani mambo kwako yatakuwa mepesi au kutakuwa na mabadiliko then you're done unless you stop talking like politicians wakati wenzenu wapo kazini!
UPDATE:
Kwa hisani ya Mkuu Mr Hero akanikumbusha haya hapa chini:

Ndesapesa tena, huyu hapa
Wapo watakaosema kwamba akina Diamond ni vijana, so walitakiwa kuyaunga mkono mageuzi... kama ndivyo, je kuna vijana wangapi walioachia ngazi kwenye hizo TV Stations kv tu hawakutaka kufanikisha zoezi hilo? Hivi mngekuwa nyinyi ndo wanamuziki halafu mkapewa mchongo na CCM, hivi kweli mngekataa au mnataka wenzenu ndo wakatae? Hivi leo hii CCM wakienda kukodi ukumbi wa Club Billicanas mnatarajia Mbowe atakataa?! Kuna wengine eti wanahamasisha watu kususia kazi za wasanii... kwanini wasisusie biadhaa za watu kama akina Bakheresa? Hivi kabla mtu hujajishughulisha kupiga kampeni ya kususia kazi za wasanii, umeshajiuliza mwaka huu umetumia shilingi ngapi kununua kazi zao zaidi ya kwenda kupiga yowe kwenye pages zao contrary na pesa ulizotumia mwaka huu kununua bidhaa za akina Bakheresa, Mengi, Diallo na wenzake?
Wala hapahitajiki shahada ya chuo kikuu kufahamu kwamba hakuna msanii hata mmoja (ukiondoa wale walio jukwaa la siasa moja kwa moja) ambae angeweza kupewa mchongo na CCM halafu akakataa... HAKUNA! Mtu kama Ali Kiba hakuonekana, mosi inawezekana mchongo hakuupata au inawezekana vilevile muda wake bado coz' kampeni ndo kwanza zimefunguliwa! Au inawezekana CCM hawakuona sababu ya kuwachukua mafahari wote wawili but there's no way kwamba amekataa! Na akiwa alipewa mchongo na akakataa wala sina sababu ya kumsifia zaidi ya kumuona ni mpumbavu coz' yeye muziki ndo kazi yake... unapofanya biashara huwezi kuchagua mteja!
Wanasiasa wenyewe wapo kimaslahi zaidi kwahiyo ni kiroja kuwataka wasanii ndo wawe "wazalendo" zaidi lakini wengine wote business as usual!! Hivi hatujiulizi ni kwanini hata hao UKAWA linapokuja suala la posho bungeni huwa wanaongea lugha moja na CCM? Ni nini kama sio all about maslahi ya mifuko yao? Sasa how come mtake wasanii pekee ndo wa-sacrifice!! Hivi leo hii CCM wanapojisifia kwamba tumefanya hiki au kile; hizo kazi zinafanywa na nani kama sio na sisi sisi? Hivi leo hii vijana wooooooooote wakisusa kufanya kazi serikalini, je serikali itabaki madarakani angalau kwa wiki moja kabla ya kuporomoka? Kwanini tusianze sisi wenyewe kususia kufanya kazi na serikali ya CCM?
Wapo watakaosema wasanii hawakutakiwa kuchukua upande kwavile wana mashabiki wenye itikadi mbalimbali! Kauli kama hizo ni za kinafiki coz' najua wengi wao kama sio wote tatizo sio msanii kuchukua upande bali msanii kuchukua upande ambao yeye (shabiki) hauungi mkono! Tunachotaka tunachounga sisi mkono ndicho na yeye (msanii) aunge... eh! Kama msanii fulani humpendi basi akiunga mkono chama usichokipenda ndo anakufanya umchukie zaidi... MAAJABU HAYA!
Tangu niingie JF miaka kadhaa iliyopita sijawahi kubadili msimamo wangu kwamba CCM na UPINZANI wote ni wale wale tu... wote ni WEZI tu!
ENDELEENI KUPIGA SIASA ZA KWENYE SOCIAL MEDIA WAKATI WENZENU WANAPIGA PESA... Recall Sugu Vs Ruge saga! Na kama unatarajia akiingia madarakani fulani mambo kwako yatakuwa mepesi au kutakuwa na mabadiliko then you're done unless you stop talking like politicians wakati wenzenu wapo kazini!
UPDATE:
Kwa hisani ya Mkuu Mr Hero akanikumbusha haya hapa chini:

Ndesapesa tena, huyu hapa
Last edited by a moderator: