Huku Diamond na wenzake, kule Reginald Mengi na wenzake!


You're very right boss...I have nothing more/ less.
 
Last edited by a moderator:
Kama niliwahi kubisha diamond ni msanii mkubwa sana naomba mnisamehe. ..
Ah, we Muuza Sura long time nafahamu unamkubali Chibu sema tu kuna kipindi sijui ulikuwa unampigia misele demu wa Team Kiba hapa JF na wewe ukajifanya Team Kiba kama ambavyo Matola alipoanza kujifanya Team Kiba kumbe alikuwa anapigia minyato dea la t-shirt.. just kidding!
 
Last edited by a moderator:

Wanaomlaumu Diamond bado hawajui lack of education. Kama amethubuti kuongea mbele ys Rais kwamba yeye kuzaa na Zari ni maendeleo kwa Taifa hakuna atakalolifanya anishangaze.
 
Last edited by a moderator:
hahahahha!mimi Team Kiba bab mwanzo mwisho!wanachokosea watu wengi ni msanii mwenye jina kubwa na msanii mwenye kipaji kikubwa!chibu ana jina kubwa ila kiba ana kipaji kikubwa!lakini yote ya yote tukiachana na mziki namkubali sana chibu anavyowakomesha vijana wanaotaka kuvimbiana naye mtaani!....vita ya mtaani si ya chibu na kiba!ni chibu na team mahips mporomoko wema sepetu na takataka zingine za mademu tasteless na watoto wa kiume wanaoishi kwa migongo ya wanawake na upambe wakati chibu anahustle kinigga
 
True kwa 99%... nimetoa 1% kwa sababu ulitakiwa kumalizia kabisa mwenye kipaji kikubwa ambae alibweteka na kipaji chake hadi alipokuja kukurupushwa usingizini! Leo hii Diamond anakuwa ndo wa kuonesha njia wakati alitakiwa kufuata njia ya wakongwe na talented kama Ali. Majority ya mashabiki wa Diamond walikuwa ni wa Ali Kiba. Anyway, hata hivyo naiaminia management ya Rockstar4000 kv ni international.... labda Kiba mwenyewe ashindwe like Rose Mhando cjui alifika wapi na hii management manake kimyaaa kabisa!
 
Wanaomlaumu Diamond bado hawajui lack of education. Kama amethubuti kuongea mbele ys Rais kwamba yeye kuzaa na Zari ni maendeleo kwa Taifa hakuna atakalolifanya anishangaze.
Hicho unachosema majuzi Diamond nilimchana kwenye page yake alipotoa hoja ya kwamba "kwanini viongozi wote ni wa kabila lile lile...!" akihusisha CHADEMA na Wachaga! Mie sio shabiki wa UKAWA lakini nilikerwa sana na inaelekea wenye ufahamu walimwambia akafuta ile kauli lakini hata hivyo nilifahamu hapa tatizo ni elimu na uelewa! Mtu mwingine hata kama anaamini beyond reasonable doubt kwamba CHADEMA ni chama cha Wachaga lakini hawezi kuthubutu kuongea hadharani lakini kwa hawa wenzetu, ni ama waamue kupoga kimya kama afanyavyo Kiba au aongee na kuharibu kila wakati!
 
Domoo hana akili, kwanza nani atashawishiwa na domo afu akubali kuipigia ccm kura wakati at the first place alkua hataki? Mwacheni domo ajiharibie afu mwisho wa siku aje kusema "Watanzania wana chuki binafsi, wimbo wangu walikataa kuupigia kura kimataifa"
 
Nami nakubaliana nawe 99%....nimetoa 1% kwakuwa ulitakiwa kumalizia si tu kubweteka ila king walimstress watu flani wa media mpaka akaona ni bora nusu shari kuliko shari kamili....ila asikuambie mtu bongo kwenye huu mziki tunatisha africa!....huu ushindani wa kiba na diamond ukitoa fursa na wengine kutamba tutazidi kutisha!
 
Yaani am so excited ninapoona tunavyozidi kukimbiza... kwa mwendo huu, soon haitakuwa tena East Africa Giant ambayo tumeshaichakaza kila angle bali kote kusini mwa jangwa la sahara na kisha kumalizia umangani kaskazini mwa afrika!! Interest yangu kubwa kwa sasa ni kuona tunavuruga na kupiga show nyingi zaidi za Afrika kuliko za Marekani au US ambako kimsingi wanaokuwepo ni wana-East Afrika wenzetu tu na zaidi ya mkwanja, wala haisadii sana kueneza muziki wetu. Kwa sasa sidhani kama kuna music chat kubwa kwa Afrika kusini mwa jangwa la sahara ambako unaweza kukosa ngoma ya TZ!

Kuhusu ushindani wa Diamond na Kiba, ninaona una manufaa sana! Figisufigisu za hapa na pale haziepukiki... ikiwa hata makanisani na misikitini huwa zinakuwepo, seuze kwenye muziki !!!
 

Jitambue kaka msanii pia ni mfanyabiashara km mengi au dar express ...
 
Wewe uliyemwaga povu hapa unajidanganya...sawa wamefanya. Biashara na mipost ya shombo mayo wanalipwa uzalendo upon wapi?hao wamesahau wenzao wanaoteseka basi...hawataki ukombozi miaja 54 watoto kusomea kwenyed miti wkt kuka mahali Pesa za jumbo zinapelekwa?zinduka ---- wewe.
 
Would you mind if I opt to ignore you madam?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…