LINDAIKEJI
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 273
- 131
Too much words for nothing.wasanii na mashabiki ni vitu vinantegemeana,binafsi sikatai kazi yao bali inakwaza tu.if they were to sing wangeimba ila utumwa walionao instagram ni unacceptable.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu IFRS hawa watu mie wananifurahisha sana... halafu inaelekea wala hawajui kwamba kumbe hata JF nao wamechukua chao na bango la CCM linaendelea kutamalaki kama kawa halafu wanawataka akina Diamond ndo wawe wazalendo kwa kigezo cha kuwa na mashabiki wa itikadi mbalimbali utadhani hapa JF wote wana itikadi moja!! Nadhani na hii post watai-delete manake mara ya kwanza niloposema hata JF wamechukua chao waka-delete!!!chige una akili kubwa sana,sasa unapobishana na akili ndogo lazima utaumiza kichwa
Kichinjio ninacho, tutaheshimiana tu.
Hahahahaaaa! JF wame-delete post kwavile nimewaambia na wao ni wasaliti wa mabadiliko!!!!
umeandika pumba tupu na sijaelewa inakuwaje umekuwa kilaza kiasi hicho ITV ikirusha mkutano wowote live au recorded tofauti na kwenye taarifa ya habari au makala nyingine za kawaida ujue hiyo airtime imenunuliwa na chama husika na wala sio meneja anatangaza bure, they are paying a lot of money to buy airtime its not for free.
Paula, yaani sie watu tuna matatizo sana... we love to preach what we don't and will never practice! The way watu wanavyoongea unaweza kudhani wangekua wao wangekataa! Wanachukulia kila kitu too personal! Na wale wasiompenda Diamond tangu hapo inakuwa ndo kama wamepatia sababu huku ramli za downfall yake zikizidi kupigwa... zaidi ya mwaka sasa ramli zinapigwa lakini ndo kwanza jamaa anazidi anaendelea ku-shine!!wewe ni kijana mwerevu sana, huwa unaandika mambo yanayoeleweka basi tu baadhi ya watu ni wakaidi, unajua nini kuna baadhi ya watu kiukweli wanatamani wawe Mungu japo kwa sekunde moja tu ili tu wamporomoshe diamond, yaani ndio roho zao zitatulia, kwa vile uwezo huo hawana ndio maana wanatumia nguvu zao zote kukigeuza kila asemacho au afanyacho diamond kuonekana kibaya tuuuuuu.
yani wewe na mleta mada wote sawa nilikuwa sitaki kukujibu ila wacha nikujibu tu simple like this.
ukitaka kupata usawa ni kumlinganisha domo na kiba, wema, jux, na wanamuziki na waigizaji wengine.
ukitaka kupata usawa ni kumlinganisha Mengi na baresa, manji, na wafanya biashara wengine
wote kwa pamoja kwenye uwanja wa siasa na kuendana na nafasi zao na kazi zo wanazofanya lakini unamlinganisha Mengi na muuza mitumba flani na muimba michiriku domo????? you must be not serious domo kamlinganishe na genge lake wanaoendana nae na sio Mzee Mengi.
Wewe ni GT👏👏Chige nadhani sio suala la kuperform watu ndio wanatofautiana nae domo ni suala la yeye kukomaa huko kwenye social media (instagram) kuipigia kampeni CCM .Anyway ana uhuru binafsi ,,lakini narudia sio suala la kuperform Ila ni anapokuwa mpiga kampeni wa CCM ..Kama ex wake Wema na hapo atakumbana na upinzani wa washabiki wake ambao hawaungi mkono chama anachokipigia kampeni ( vile vile hata angeipigia kampeni Ukawa bado washabiki wake wa CCM wangetofautiana nae)
upo sahihi kupita maelezo, wamerusha hayo matangazo kwa vile wamelipwa mpunga mrefu, na si kwa mahaba niuwe wakarusha bure, sasa why are you people mad at diamond kuipigia kampeni ccm for money?? umeambiwa kilichompeleka jagwani ni mahaba niuwe??? au zile post anazorusha IG is for free?? kama mengi na wengineo wamechukuwa fursa ccm wakaingiza pesa? why diamond akatae au mnataka mwenzenu afe njaa kwa kisingizio cha uzalendo ambao nausikiaga tu sijawahi kuuona popote? wachambeni wa ITV, wasusieni kazi zao, block ITV isionekane kwenye runinga yako, msinunue magazeti yao maji yao soda zao kwa sababu hata wao ni wasaliti wa mabadiliko, acheni kumuonea diamond.
Sijasoma na nimeishia darasa la nne... una la ziada msomi?Nimesoma, nikarudia tena lakini sijaelewa ulichoandika. Kama wewe umesoma chuo basi Tanzania kazi tunayo..