Huku E-FM kumekucha, yule mrithi wa kiti cha Maulid Kitenge amepatikana

Nisiposikiliza Morning star radio (sauti ya matumaini) huko pengine nitasikiliza DW saa 7 na ile ya 12-1:30 hivi vipindi vingine ni utoto tu maana naona lengo la kuelimisha jamii siku hizi hakuna ni burudani tu kwenye hizo radio station
Fani za watu hizi huo ndio ukweli wenyewe,mnadhalilisha tasnia ya habari,inaonekana cheap sababu ya watu wa hovyo kama hao akina Steve.
 
Hongera sana Steven Nyerere watu wanazingua sana ukitokea msiba wa celebrity, sasa utakuwa bize na shughuli zako
 
Shishi food shishi trump alienda kuchambua mgazeti wakampa gazeti la The Citizen.
Heading ilikuwa na neno moja kibomba , kawauliza huku analalamika kuwa haya magazeti yanatoka Kenya nini"??πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakamwambia linatoka tabata tu hapoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Sasa steve Nyerere na ngeli less si ni mzaha huu?
 
Hapana, nadhani wanachofanya EFM ni kualika celebrity mmoja kila siku ili awe anasoma magazeti, siku ya kwanza baada ya kuondoka kitenge magazeti alisoma Elizabeth Michael, siku ya pili akisoma Shilole, siku ya tatu alisoma Kingwendu na siku ya nne kasoma Steve Nyerere.

Nadhani wanatafuta mtu ambae anaweza kutosha kwenye hicho kipindi, so kati ya hao ambao wanasoma seems ambae atasoma vizuri zaidi kuna uwezekano akala shavu kabisa.

Nilimsikiliza Kingwendu akiwa anasoma, aisee alikuwa anatetemeka kabisa, kuna muda mpaka Musa akawa anamsaidia kusoma.

Tusubiri Jumatatu tutaona nani ataalikwa kusoma magazeti.
 
kaona mpoki yupo karibu kufa kajisogeza kula rambi rambi
 
Anacheti cha journalism??
Alaf ni mwisho 2021 Serikali ilisema kama una Certificate hufai kuwa Journalist!!ila naskia huyu Yeye ana Degree ya Bachelor of Arts and Mass Communication'BAMC'alihitimu SAUT hahaha.
 
Naona makonda kashafanya yake, kamuondoa mbaya wake kamuweka kibaraka wake.
 
Hizi redio tangu hiyo wasafi mpaka hiyo e fm sijui mnasikilizaga kitu gani.

Yani redio masaa 4 wanachambua tu mpira tena mpira wenyewe hawajui!
 
Tukiacha unafiki na majungu,kama steve atatuliza kichwa vyema atafanikisha sana kipindi.

Aminini hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…