Soma biblia jinsi Yusufu alivyo pata cheo kikubwa kutoka gerezaniKuna kipindi katiba yetu ile ya zamani ilikua inaruhusu uwezo kama huu, kwamba unaweza ukamfuta mkuu wa taasisi fulani na kuteua mwingine papo hapo, hata hamna ulazima wa kujua jina la unayemteua, yaani hizi nchi mbili tuko tofauti sana.
GDP $100b kutoka $14b mwaka wa 2002 π
Biblia ni ya kupumbaza miafrika Kama wewe.Soma biblia jinsi Yusufu alivyo pata cheo kikubwa kutoka gerezani
Siku mkiacha ujinga mtakuwa watu wa maana sana.GDP $100b kutoka $14b mwaka wa 2002 [emoji16]
Ndio maana corona inawazalisha mapacha kila siku,sababu ya kichanganyikiwa na maisha mpaka kumsahau Mungu.Biblia ni ya kupumbaza miafrika Kama wewe.
Ugatuzi Bro umeleta maendeleo mashinani na pia ukaleta ufisadi but ni hatua nzuri kwetu we can easily tell where the problem is unlike kitambo when power was only vested on the presidency. Kwenu naona Magu anaamka na kutimua RC ovyo ovyo tu Kama nyakati za Mzee Moi.Sio kwa ubaya katiba mnayoisifu siJawah kuona kama imebadili chochote, sana sana rushwa ndio umeshamiri
Mjapani anatumia biblia π usipumbazwe na mbeberuNdio maana corona inawazalisha mapacha kila siku,sababu ya kichanganyikiwa na maisha mpaka kumsahau Mungu.
Tayari so ni watu wa maana, kuongoza ukanda huu was Africa Mashariki na ya Kati kiuchumi sio mchezo.Siku mkiacha ujinga mtakuwa watu wa maana sana.
Pop nayo ilikuwaje 2002???[emoji16]
He actually can't fight because he leads corruption gangstersAnd who told you that it's solely the work of the president to fight corruption?.
He actually can't fight because he leads corruption gangstersAnd who told you that it's solely the work of the president to fight corruption?.
Mjapan anaamini katika biblia na vitabu vingine,wewe ni mjapan??[emoji1787][emoji1787].Mjapani anatumia biblia [emoji16] usipumbazwe na mbeberu
Tayari so ni watu wa maana, kuongoza ukanda huu was Africa Mashariki na ya Kati kiuchumi sio mchezo.
Population ilikuwa est 30 million [emoji6]
Sio kweli, katiba ya Kenya imempa madaraka makubwa rais kufanya kazi zake, ni udhahifu wa viongozi wao ndio tatizo, mbona aliwasimamisha kazi baadhi ya mawaziri miaka kadhaa nyuma kwa kuhusishwa na kashfa za rushwa, juzi amewabadilisha viongozi mbalimbali toka Chama chake aliowaona wanampinga kisiasa na kuungana na Rutto.Mh, kasi ipi iyo, miradi kibao mmesimamisha , labda kasi za kutatua mambo kisiasa, kama bbi.
Alafu katiba yenu inamfanya rais wenu kuwa kama pambo vile, toothless kabisa.
Ugatuzi Tanzania tuuliufanya katikati ya miaka ya 80s, tuliuita "Madaraka mikoani", we failed terribly, hata ninyi mtashindwa, hiyo system sio tu ni ghali sana kwa nchi kuendesha, lakini ni vigumu sana kudhibiti matumizi ya pesa za nchi, unaongeza rushwa sana na kuchelewesha mtaendeleo kutokana na kuwepo kwa " too many centers of command".Ugatuzi Bro umeleta maendeleo mashinani na pia ukaleta ufisadi but ni hatua nzuri kwetu we can easily tell where the problem is unlike kitambo when power was only vested on the presidency. Kwenu naona Magu anaamka na kutimua RC ovyo ovyo tu Kama nyakati za Mzee Moi.
Mliufanya 1980s na ukafeli nafikiri ndio maana mnashindwa kuwalipa mafao wazee waliostaafu πUgatuzi Tanzania tuuliufanya katikati ya miaka ya 80s, tuliuita "Madaraka mikoani", we failed terribly, hata ninyi mtashindwa, hiyo system sio tu ni ghali sana kwa nchi kuendesha, lakini ni vigumu sana kudhibiti matumizi ya pesa za nchi, unaongeza rushwa sana na kuchelewesha mtaendeleo kutokana na kuwepo kwa " too many centers of command".
Mjapan anaamini katika biblia na vitabu vingine,wewe ni mjapan??[emoji1787][emoji1787].
Mnaongoza nini,hii GDP ndio mmebaki nayo.na tunatoa miaka 10,mtajua hamjui.
Mnatuajiri kufanya nini wakati hata nyinyi kazi mmeporwa na wachina[emoji23][emoji23][emoji23].$100b vs $63b ni ishara tosha tunawaajiri mpende msipende na usisahau Ethiopia ndio was pili after Kenya, nyinyi mkubali nambari 3 roho Safi.
Wewe mbumbumbu kuna tofauti kati ya biblia na madhehebu ya dini Wewe unadhungumzia madhehebu ndiyo yanayo pumbaza watu mm nimesoma biblia nimeona hekima kubwa tuBiblia ni ya kupumbaza miafrika Kama wewe.
Hiyo ugatuzi itasababisha miradi mibovu chini ya kiwango majengo kubomokea watu shule kubomokea wanafunzi nk juzi tenki LA maji jipya limebomoka kabla ya uzinduzi UGATUZI HUTA WAGATUAUgatuzi Tanzania tuuliufanya katikati ya miaka ya 80s, tuliuita "Madaraka mikoani", we failed terribly, hata ninyi mtashindwa, hiyo system sio tu ni ghali sana kwa nchi kuendesha, lakini ni vigumu sana kudhibiti matumizi ya pesa za nchi, unaongeza rushwa sana na kuchelewesha mtaendeleo kutokana na kuwepo kwa " too many centers of command".
Wewe subiri huo UGATUZI UTAWAGATUA VERY SOONMliufanya 1980s na ukafeli nafikiri ndio maana mnashindwa kuwalipa mafao wazee waliostaafu [emoji6]
Huu ujinga wako ndio unaita Hekima ππ Reasoning yako ni ya wakati hakuna mitandao yani 80s...gutuka Mkuu yupo 2020.Wewe mbumbumbu kuna tofauti kati ya biblia na madhehebu ya dini Wewe unadhungumzia madhehebu ndiyo yanayo pumbaza watu mm nimesoma biblia nimeona hekima kubwa tu
Na msahafu kuna hekima kubwa tu
Mambo ya kuhabudu mzungu kama nyinyi wakenya ni upumbaavu hata hivyo vitabu vimesema
2013 tukianza ugatuzi GDP Kenya $65bWewe subiri huo UGATUZI UTAWAGATUA VERY SOON
MTASHANGAA HIYO MILADI YA UGATUZI HIKI BOMOKA KABLA YA KUZINDULIWA