Huku kwenye maofisi ya Serikali huduma ni mbovu mno na watumishi wamerelax sana. Hivi shida ni nini?

Huku kwenye maofisi ya Serikali huduma ni mbovu mno na watumishi wamerelax sana. Hivi shida ni nini?

chama tawala kinavotufanyiaa mazee
FB_IMG_1706208864893.jpg
 
culture takes years and years to change.. #5 alijitahidi kubadilisha japo mwishoni underlings wake waliexcuse mateso eti wanawajibisha watu.. kiufupi, unless tupate kiongozi aliye strict but fair hamna kitakachobadilika
 
Kichwa cha habari chajitosheleza....yaan mambo yamelala mno ule usharpness haupo,kujali hakupo...kitu cha dk 2 kinachukua dk30..aisee hii ni hatari...Serikali mlala mno....
Unataka awe sharp wakati watoto wake hawajaripoti skuli,hajui kesho watakula nini na bili ya maji ametumiwa kwenye simu?Jiongeze.Mpatie hela!
 
culture takes years and years to change.. #5 alijitahidi kubadilisha japo mwishoni underlings wake waliexcuse mateso eti wanawajibisha watu.. kiufupi, unless tupate kiongozi aliye strict but fair hamna kitakachobadilika
Aisee ni hatari sana kwa huu utendaji wa sasa...nchi kuendelea ni ngumu mno....
 
Unataka awe sharp wakati watoto wake hawajaripoti skuli,hajui kesho watakula nini na bili ya maji ametumiwa kwenye simu?Jiongeze.Mpatie hela!
kazini sio sehemu ya excuses. kama huwezi kufanya kazi na una msongo wa mawazo omba leave uji-sort out. hizi sababu kuna siku nurse atamchomeka vibaya catherter mgonjwa anaekuhusu vibaya atatumia sababu hizi hizi unazotoa
 
Akingia ofisini saa mbili na nusu
Saa tatu kamili tu anaenda kunywa chai, supu anarudi saa tano kamili
Saa sita kamili ikifika anaenda lunch
Anarudi ofisini saa nane na nusu
Huko lunch ni kupiga stori,umbea tu
Akingia saa nane na nusu Ana zuga mpk tisa kamili anasepa nyumbani
Kuendelea na mizunguko yake
Ratiba hiyo ni ya wiki nzima

Alafu akirudi home anakuambia
Today I was very bizeee [emoji1]

Ova
 
"Job security"

Hakuna review serious za wafanyakazi wala kuwawekea malengo wanayotakiwa kutimiza.. Isitoshe ni issue ya serikali hivyo, hatuna option zaidi ya kwenda wanavyotaka maana ingekuwa private sectors, tigo anakuboa unahamia voda

Ila kwa serikali hakuna hilo, huduma iwe mbovu au safi, lazma uipate hapo hapo.
 
Akingia ofisini saa mbili na nusu
Saa tatu kamili tu anaenda kunywa chai, supu anarudi saa tano kamili
Saa sita kamili ikifika anaenda lunch
Anarudi ofisini saa nane na nusu
Huko lunch ni kupiga stori,umbea tu
Akingia saa nane na nusu Ana zuga mpk tisa kamili anasepa nyumbani
Kuendelea na mizunguko yake
Ratiba hiyo ni ya wiki nzima

Alafu akirudi home anakuambia
Today I was very bizeee [emoji1]

Ova
Naunga mkono hoja
 
Wabongo kwa kulalamika! Huduma ipi mbovu ulipewa mkuu
 
Tunajua unachokusudia kusema lakini hakuna wakati wowote kulikuwa huduma nzuri huko maofisini.
 
Sema tunalalamika ipo siku nawe utakuja simulia....
Ulienda kupata huduma gani, wakati mwingine mteja unamueleza vizuri tu anaanza kukaza fuvu kisa ana haraka zake au anataka jambo lifanyike bila kufuata utaratibu basi anatoka hapo na hasira kibao. Mtu unamwelekeza vizuri tu nyaraka zinazotakiwa kesho yake anakuja nazo pungufu... Ukimwambia utasikia hukuniambia au huu ni urasimu mi nimechoma nauli etc. Ni mfano tu....
 
Back
Top Bottom