Huku kwetu Temeke maji ni 24/7, pia na umeme ni 24/7

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nipo Temeke hapa Maeneo ya Tandika Makaburuni, dumu la maji ni 50 na umeme ni 24/7

Naomba serikali watoe magari yao waje huku wajaze maji na wawasambazie ndugu zetu wa huko pembezoni na mji.

Hapa Temeke visima vipo vingi sana maji ni 24/7
 
Kule Mbagala ukiwaambia shida ya maji wanakushangaa..
 
Mitaa ya kwetu namba 5 ndy Dawasco wametega maji lakini wakazi wa hapa hata hatuna shobo nayo visima binafsi vingi vya fresh water.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…