Aah magufuli hardware!!!!!???
Huelewi maana ya kuita jina la duka linalouza cement ngumu magufuli?
Hahaa haaaaa
huyo dogo inawezekana ni MKWERE, sabababu jina la kabila flani haliwezi kutumiwa na kabila nyingine, huwezi ukamkuta Mzigua, mzaramo mfipa anaitwa NYERERE, kwa vile nyerere ni jina la kabila la KIZANAKI na MKAPA ni la kimakua MAGUFULI ni la KISUKUMA ila jina la MWINYI ni la kiswahili na watu wote wanao zugumza kisawahili wanalitumiaZa juma pili!!!
Huku kwetu wazee tuna vijana wengi tu wenye hayo majina tena mfano huyu dogo kikwete kazaliwa mwaka mmoja baada ya mzee kikwete kuingia madarakani
Basi utasikia wazazi wao wakiitwa
Baba kikwete
Mama mkapa
Mama mwinyi n.k
Vipi mnaye magufuli huko mtaani kwenu???!!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Jesca akiolewa na kupata mtoto atamwita kwa niaba ya sisi wote
Mbona mfingu alitaka kujiita mzungu kabisa?watanzan
huyo dogo inawezekana ni MKWERE, sabababu jina la kabila flani haliwezi kutumiwa na kabila nyingine, huwezi ukamkuta Mzigua, mzaramo mfipa anaitwa NYERERE, kwa vile nyerere ni jina la kabila la KIZANAKI na MKAPA ni la kimakua MAGUFULI ni la KISUKUMA ila jina la MWINYI ni la kiswahili na watu wote wanao zugumza kisawahili wanalitumia
Huku kwetu kuna mtoto kazaliwa anaitwa shirawaduHuku nilipo sijawahi kuyasikia hayo majina zaidi ya watoto kuitwa john,benjamin,hassan,mrisho.
Sasa yule bro anaitwa Jakaya, sasa ukimuita kikwete ni jina la ukoo at a adopt mambo mengi.nikibahatika kupata mtoto wa kiume nitampa jina kikwete
Huku kwetu kuna mtoto kazaliwa anaitwa shirawadu