Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Tatizo liko wapi sasa?biashara yake,kaianzisha kwa pesa yake hamna wa kumpangia jina.mfano kishimba ana super market yake ilikuwa inaitwa kishimba supermarket kwan kuna tatizo?ukijiamini na kujikubali kamwe hautaona aibu kutumia jina lako au la ukoo wako.
Aah magufuli hardware!!!!!???
Huelewi maana ya kuita jina la duka linalouza cement ngumu magufuli?
Hahaa haaaaa