Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
HaaaaahaaaaChato haitui?
Kwa Zito Kabwe italogwa tuNia njema kamwe hailogwi
Route ya Nairobi mtajitoa wenyewe
Hakuna kitu kibaya kama usaliti. Yuda alijiua baada ya kuzidiwa nguvu na nafsi iliyomsuta kwa kile alichokifanya.
Watu wanakaribia kuleta ndege, halafu wewe unafanya mawasiliano na wanaotudai ili walipwe fedha yao na fedha ya malipo ya ndege ikosekane!!, hujiulizi kuwa kwa kufanya hivyo unaharibu mipango yote ya ufufuaji wa shirika la ndege, la nchi ambayo Baba yako na Mama yoko wamezaliwa!!. Huo kama sio usaliti tuiteje?.
Ndege hizi zingewasili mapema pengine sasa hivi kungekuwa na maendeleo fulani kwenye sekta ya anga. Unapopambana ili juhudi za kubadilisha hali ya nchi zisifikiwe, ukumbuke tu unapambana na zile nguvu zisizofahamika kwa walio wengi.
ATCL imeanza na mguu mzuri sana, wanasiasa wapigaji na wenye damu za kifisadi hawawez kutafuta habari njema. Hawana tofauti na wale waliosahau kuwa Tanzania ni nchi kamili, ambayo ukiifanyia usaliti basi utajikuta ukiumia.
wanasahau kuwa Tanzania ni nchi yetu sote kutwa kucha wanaiombea mabaya utadhani inamilikiwa na mtu mmoja.WATASHINDWA NA KULEGEAHakuna kitu kibaya kama usaliti. Yuda alijiua baada ya kuzidiwa nguvu na nafsi iliyomsuta kwa kile alichokifanya.
Watu wanakaribia kuleta ndege, halafu wewe unafanya mawasiliano na wanaotudai ili walipwe fedha yao na fedha ya malipo ya ndege ikosekane!!, hujiulizi kuwa kwa kufanya hivyo unaharibu mipango yote ya ufufuaji wa shirika la ndege, la nchi ambayo Baba yako na Mama yoko wamezaliwa!!. Huo kama sio usaliti tuiteje?.
Ndege hizi zingewasili mapema pengine sasa hivi kungekuwa na maendeleo fulani kwenye sekta ya anga. Unapopambana ili juhudi za kubadilisha hali ya nchi zisifikiwe, ukumbuke tu unapambana na zile nguvu zisizofahamika kwa walio wengi.
ATCL imeanza na mguu mzuri sana, wanasiasa wapigaji na wenye damu za kifisadi hawawez kutafuta habari njema. Hawana tofauti na wale waliosahau kuwa Tanzania ni nchi kamili, ambayo ukiifanyia usaliti basi utajikuta ukiumia.