Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,187
ATCL yatarajia kutua katika Majiji 16 duniani. Majiji hayo ni: Comoro, Bujumbura, Entebbe, Nairobi, Kigali, Lubumbashi, Accra, Lagos, Harare, Lusaka, Jo-burg, Guangzhou, Dubai, Muscat na London, Bangkok na Mumbai. Hiyo italifanya ATCL kuipa Tanzania nguvu ya kushindana katika soko la biashara ya utalii.
Aidha, mapato ya ATCL yamepanda kwa zaidi ya mara sita kutoka milioni 700 hadi bilioni 4.5.

Aidha, mapato ya ATCL yamepanda kwa zaidi ya mara sita kutoka milioni 700 hadi bilioni 4.5.
