Huku mganga wao wa kienyeji akiwataka kutumia tu jezi nyeusi, Bodi ya Ligi muda wowote kuipa Yanga SC adhabu kali

Mnatuchanganya mara bahasha mara jezi,mara timu yenu mbovu mnahangaika tu
 
Makamasi matupu
Unavyoweka muda wako vizuri wa Kuvizia kila Thread yangu ninayoianzisha hapa JamiiForums au Post ninayoichangia ili uje Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia ukiwa na Lengo la Kuuchafua Uzi wangu kwa Majibizano yetu yenye Maneno Makali ( ukiwa na Agenda yako Maalum ) ni Kielelezo tosha kuwa Unanifuatilia, Unanikubali na unateswa mno na Umaarufu wangu wa Kutukuka hapa.

Kabla ya Kuuanza huu Mkakati wako wa Kipumbavu na Kiuwendawazimu dhidi yangu nilikuwa na Jumla ya Followers 117 ila baada ya Kuuanzisha huu Mkakati wako huku mara nyingine ukitumia Multiple ID's zako umenisaidia kuwa na Jumla ya Followers 125 sasa hivyo Nikushukuru kwa Kusaidia Kunipaisha hivi GENTAMYCINE hapa JamiiForums sawa?

Mwisho nikuambie kwa Kukusaidia kuwa Nishambulie uwezavyo, Nidhihaki uwezavyo na Nitukane uwezavyo ila kamwe hutoweza Kuipunguza Kasi yangu, Kuushusha Umaarufu wangu mkubwa hapa JamiiForums na kunifanya nisiwe 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi nilivyo.

Ushauri wangu mkubwa Kwako kila ukiwa unampigia Goti Mwenyezi Mungu jitahidi sana Umlalamikie ni kwanini hakukubariki na Shani ( Tunu ) nyingi ambazo amenibariki nazo Mimi GENTAMYCINE ikiwemo ya kunipa hii 'Natural Charm' niliyonayo ambayo ndiyo inakutesa Wewe na Wapumbavu wenzako Wote mnaonichukia hapa JamiiForums utadhani labda nimeshawahi Kulala na Mama zenu Wazazi au hata Kuwaingilia Kinyume na Maumbile ( Kuwanukudi ) hivyo nyie Watoto zao mna Hasira na Machungu nami.

Sadism is inevitable when the situation is alarming.
 
Genta nakukubali sana Mkurya wa Mara jioni pita pale kiwanja kipya kwenye frem za jeshi upate kumwagilia moyo mm ni simba mwenzako Nitakuwa nimevaa uniform zangu za jeshi
Asante Mkuu Afande.
 
Kuanzia leo Mimi nitakusapoti Hadi tone la mwisho
 
Vipi mmepakatwa watoto wazuri
 
Hats off to Gentamycine
 
Leo wamebadiri jezi tu wamebondwa... we mwamba naanza kukuamini sasa
Unadhani Mwenyezi Mungu alivyonibariki na hizi Tunu (.Shani ) Kuu Nne ( 4 ) za 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hadi akina OKW BOBAN SUNZU wananichukia na Kunionea Wivu alikosea?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
yanga wanavaa jezi za njano miaka na mikaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…