Huku ‘ Mwarabu ‘ akiwa tayari ‘ Kumbikiri ‘ Mtu huko Mwanza Jumapili tayari Mabondeni Mafuriko FC wameshaanza ‘ Visingizio ‘ vyao

Huku ‘ Mwarabu ‘ akiwa tayari ‘ Kumbikiri ‘ Mtu huko Mwanza Jumapili tayari Mabondeni Mafuriko FC wameshaanza ‘ Visingizio ‘ vyao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo..
.
“ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu.

Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama hawakua na matayarisho binafsi ya akili tangu mwanzo wa msimu ambayo yangewawezesha kujitoa na kujituma zaidi kwa maendelo yao binafsi na timu”. - Zahera akiongea na waandishi wa habari leo.

Chanzo Taarifa: yangawhatsapp makaomakuu 25/10/2019

Kazi mnayoijua huko Mkoani Mwanza sasa ni ya ‘ Kuroga ‘ tu na si ya Kuiandaa Timu Kisayansi zaidi. Mtawajua hasa Waarabu!
.
 
Kocha wa Yanga sc amesema moja kati ya vitu ambavyo wachezaji wamekosa ni malengo..
.
“ Inatakiwa toka mwanzo wa msimu mchezaji aweke malengo kwamba mimi kama kiungo lazima nitoe pasi za mwisho zaidi ya kumi na kufunga magoli zaidi ya kumi ktk msimu.

Lakini ukiangalia wengi wanavyocheza ni kama hawakua na matayarisho binafsi ya akili tangu mwanzo wa msimu ambayo yangewawezesha kujitoa na kujituma zaidi kwa maendelo yao binafsi na timu”. - Zahera akiongea na waandishi wa habari leo.

Chanzo Taarifa: yangawhatsapp makaomakuu 25/10/2019

Kazi mnayoijua huko Mkoani Mwanza sasa ni ya ‘ Kuroga ‘ tu na si ya Kuiandaa Timu Kisayansi zaidi. Mtawajua hasa Waarabu!
.
Kambi ya South Africa vs UD Songo = Msongo wa Mawazo
 
Mmebaki kuwa washangiliaji tu! Utafikiri hamkushiriki kwenye haya mashindano msimu huu!
 
Kwani Pyramids ni hao hao UD Songo?. Mmakonde si mtu mzuri hata kidogo. Kamwachia mtu mimba hadi leo ni mwendo wa kutapika, kula udongo na ugomvi usioisha mtaani.
 
Back
Top Bottom