Uchaguzi 2020 Huku ni kuishiwa hoja za kisiasa na nidhahiri mgombea wa CHADEMA amejitanabaisha hafai kuwa Rais

Sasa mnataka Lissu aongee nini maana huko kuropoka ropoka ndiko kulikompa umaarufu Lissu.
 
Pole sana kama unaendelea kumfuatilia huyu mtu.

Hafai hata kuwa mwenyekiti wa kijiji
 
Kwa nini kila mkosoaji wa jiwe anaambiwa siyo raia wa Tz, afu anaombwa cheti cha kuzaliwa cha babu yake, bibi, mama, baba, na chake? Jiwe anavyo?
Mfano: Askofu Severine Niwemugizi, Askofu Kakobe, nk
 
Mbona unakosa Logic? YES kwa CCM ndiyo hivyo kama huna cheti siyo Mtanzania, si ndiyo nyie manawauliza mkiona wamewakosea???
Kama ana kiapo cha mahakama kinachothibitisha ni raia waTanzania, kinamuondolea kuwa raia wa Tanzania? Think twice!
 
Bashe na Kakobe walihojiwa kwa mujibu wa sheria kuhakiki uraia wao.

We pimbi usie na akili,Geita ni Burundi. Ndio unamshauri Lissu aropoke upuuzi?
Duniani hakuna siri huyo ni mrundi Mhutu , jitu limekuja limebebwa mgongoni kutoka uhutuni huko unafikiri watu hawajui , kwani Jiwe anaishi mbinguni ? Hana ndugu ? Hana jirani? Hana aliosoma nao ? Aliokuwa nao ? Wengine wamo humuhumu jf .
 
Duniani hakuna siri huyo ni mrundi Mhutu , jitu limekuja limebebwa mgongoni kutoka uhutuni huko unafikiri watu hawajui , kwani Jiwe anaishi mbinguni ? Hana ndugu ? Hana jirani? Hana aliosoma nao ? Aliokuwa nao ? Wengine wamo humuhumu jf .
Nonsense.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…