mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
huku hawakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipo hapa Jijini Mwanza nilipo kimatembezi ndio wamekata saa 12:049j jioni. CCM oyeee!!!Kwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
Mbezi Temboni had Kwa Musuguli,chal saa hzKwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
Fursa nzuri ya kuuza mishumaa ndio hii kwa wafanyabiashara😂😂 hali ni tete mishumaa itawashwa sana
wapi ukoSisi tangu wamekata saa12 asubuhi mpaka sasa holaaa
SAA 10 holaKwa maeneo niliyopo umeme haukuwahi kukatika licha ya hali ya ukosekanaji wa umeme kwa muda unaondelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Leo naamka umeme hakuna nikajua ni luku imeisha kumbe tayari washachukua umeme wao.
Hali ni tete kwa wanaotegemea umeme kwenye kuendesha biashara zao, sijui hii changamoto itadumu mpaka lini?
TANESCO TANESCO TANESCO
ᴺᵈⁱʸᵒ ᵏᵃᵐᵃ ʰᵃᵗᵘʲᵃᵖᵃⁿᵈⁱˢʰᵃ ᵐᵃʲⁱ ᵏʷᵉⁿʸᵉ ᵗᵃⁿᵏ.Maji yamefanyaje? Au ndio umeme ukikatika na maji hayatoki
Huku kwa walima miwa mkuuwapi uko
Poleni sana itabidi shughuli hiyo ifanyike usikuᴺᵈⁱʸᵒ ᵏᵃᵐᵃ ʰᵃᵗᵘʲᵃᵖᵃⁿᵈⁱˢʰᵃ ᵐᵃʲⁱ ᵏʷᵉⁿʸᵉ ᵗᵃⁿᵏ.
Washaurudisha tungoje keshoToka
SAA 10 hola
Mishumaa ni lazima iuzike maana siku hizi watu hawapendelei mafuta ya taa na chemliFursa nzuri ya kuuza mishumaa ndio hii kwa wafanyabiashara
Poleni sanaSisi tangu wamekata saa12 asubuhi mpaka sasa holaaa
Duh poleni huku saa 12 ulirudi...Toka Saa Kuni na Mbili jioni Hadi Sasa, huku ngoma Draw! Giza totoroo...!! [emoji35][emoji35][emoji35]
Muda ni msema kweli ngoja muda utatoa majibuMie wasiwasi wangu ni kuhusu iyo treni ya umeme,cjui utawashwa kwa umeme upi,
Acha tuisome nambaNa hivi wamepewa miezi 6 ndo tutakoma
nna amini umesharudi maeneo hayoMbezi Temboni had Kwa Musuguli,chal saa hz
PoleniTayari
Wapi huko?huku hawakati
Oyeee kazi iendeleeNilipo hapa Jijini Mwanza nilipo kimatembezi ndio wamekata saa 12:049j jioni. CCM oyeee!!!
😂 poleni sanaHawa mbwa wame kata leo saa 11 asubh wakat ndo kwanza nachomeka pasi ninyooshe nguo .[emoji28][emoji28]na awaja leta hadi saivi
Mwarabu si hamtaki apewe chochote?Bora tanesco angepewa mwarabu khaaa