Huku vifaru vikipelekwa Ukraine. Zelensky asema anataka ndege na mizinga ya masafa marefu

Huyu Japan anapaswa apigwe nuclear na putin ili akili imkae sawa, maana ile ya USA haijatosha kudhibiti hicho kiherehere chake cha Kupenda kuingilia magomvi yasiomhusu
Jinga sana yule. Mtu aliyekupiga nyuklia halafu unashirikiana naye kuleta maangamizi mengine. Angemnunia mpaka mwisho wa dunia.
 
Unajua vema
 
Daah Urusi anasumbuka vita na omba omba kweli tulidanganywa sana...wacha tuendelee kuangalia hii movie
 
Rudi ukaandike story za mapenzi tu.
Huyu Japan anapaswa apigwe nuclear na putin ili akili imkae sawa, maana ile ya USA haijatosha kudhibiti hicho kiherehere chake cha Kupenda kuingilia magomvi yasiomhusu
 
Huyu Japan anapaswa apigwe nuclear na putin ili akili imkae sawa, maana ile ya USA haijatosha kudhibiti hicho kiherehere chake cha Kupenda kuingilia magomvi yasiomhusu
Apewe Satan moja chap chap 🤣
 
Daah Urusi anasumbuka vita na omba omba kweli tulidanganywa sana...wacha tuendelee kuangalia hii movie
Urusi hataki kumaliza stock yake ya silaha za maana. Ndio maana anatumia zaidi drones na masilaha mengine ya kuazima kwa washirika
 
Urusi hataki kumaliza stock yake ya silaha za maana. Ndio maana anatumia zaidi drones na masilaha mengine ya kuazima kwa washirika
Haipo hiyo kitu kwenye Vita Mkuu wanajeshi wake wanakufa na kutekwa hovyo tunaona wakibadilishana mateka humu bado mnaendelea kutudanganya kama zile Sera za Chama tawala mkiamini wote ni mazuzu aisee muwe mnatuomba msamaha kwa maandishi haya...
 
Vifaa vyote anavyoomba vinaenda kudundwa, karibia mtamsikia anaomba meli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…