Huku vifaru vikiwasili Ukraine na Urusi yafungulia nyuklia

Huku vifaru vikiwasili Ukraine na Urusi yafungulia nyuklia

Vitisho tu hivyo kama kawaida ya nchi zote za ujamaa usiwe na shaka,NATO wenyewe wana nuclear kibao labda naye Putin na watu wake wamechoka kuishi.
Sasa masuala ya ujamaa yanaingia ingiaje kwenye masuala ya vita - nani kakwabia kwa mfano: kwamba Urusi bado ni taifa la kijamaa??

Sasa kama NATO wana uwezo wa kivita na silaha za kinuclear kwa nini mpaka sasa wanasita kuingia vita ya ana kwa ana na Urusi, badala yake wanaitumia taifa la Ukraine lipigane a proxy war on USA/NATOs behalf - mataifa karibu 51 yanajaribu kuipiga Urusi wakitumia mgongo wa Ukraine Taifa ambalo viongozi wake hawajitambuhi badala yake wanatumiwa na mabeberu kirahisi sana kutekeleza malengo yao dhidi ya Taifa la Urusi, ndio maana mpaka sasa njama za mabeberu zinaelekea kushindwa vibaya sana.
 
Mkuu,ili ujue uwezo wa nchi moja tu ya NATO zipigwe Urusi na Marekani ndio utajua unachozungumza sio sahihi,kwa kumbu kumbu tu Russia alitoa sana msaada kwa Iraq ilipovamiwa na Marekani lakini bado ndani ya miezi michache sana utawala wa Iraq ulidondoka,sasa huyu supa pawa feki kuchukua tu kimji cha bakhmut imemchukua karibia mwaka na tena kipo uani kwake.
Weka sawa kumbukumbu zako kwanza naona aziko sahihi
 
Wapigane na nuclear weapons sisi wenyewe tushachoka tunataka tukashuhudie huko mbinguni waliokula Ela za mama samia wakimjibu mungu hio nini
 
Mrusi kapoteza maharamia ukraine kapoteza wanajeshi........ Asilimia kubwa ya wapiganaji wa urusi ni hao maharamia wa wagner..... Jeshi la urusi linatoa usaidizi kwenye nyanja zingine na anaweka wanajeshi wake maeneo waliyoyakomboa tayari
Wale maharamia pamoja na yule mchaga hakuna hasara kubwa kuwapoteza kwa namna hiyo.
 
Kwanza mtuambie kwanini Bakhmut haijatekwa
 
Anasubiriwa mchina nae acheze kete zake........ Watu wameanza kushikwa na kiwewe huko
Kuna haraka ya nini kwamba uteke mji ili kuonesha watu.Mariupol ilikuwa kama hivyo na propaganda nyingi za NATO hatimae mji muhimu wa bandari namba 1 kwa Ukraine ukapukutika. Huko Bakhmut kama unamsikiliza Zelensky na Progozin hakuna dalili ya kuendelea kubaki mikononi mwa Ukraine. Marekani na Ulaya yote si kwamba wanashindwa kusaidia kwa kuiogopa Urusi pekee. Wanataka wafanye hivyo lakini wote wameishiwa na silaha na uchumi hauruhusu kutengeneza nyengine kufidia walizokwishakuzitoa na kupotea Ukraine,
 
Back
Top Bottom