Huku viongozi wa CCM wakizidi kutakata na kushereheke miaka 45 ya chama chao, Watanzania wanazidi kuteseka na umasikini

Huku viongozi wa CCM wakizidi kutakata na kushereheke miaka 45 ya chama chao, Watanzania wanazidi kuteseka na umasikini

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Wananchi wakihangaika kupata Maji.

image_search_1644200546161.jpg


Viongozi was CCM wanatakata kama dhahabu
20220207_052652.jpg
 
Kila nikiangalia hivo visima nakumbuka dogo Rayan wa Morocco.
 
Kuna kipindi hili pandikizi huwa linakuja na hoja ya msingi.
 
Kosa kubwa ambalo serikali ilifanya ni kuruhusu vyama vya siasa kumiliki Mali za umma!!walilea ufisadi bila kujua!!nikiingia madarakani hakuna chama kitamiliki Mali binafsi zote zitakuwa za serikali kila chama kitahudumiwa kutokana na mahitaji yake muhimu tu!!na vyote vitakuwa chini yamalesi na uangalizi wa serikali ya jamuhuri ya muungano na ofisi zao zote za makao makuu zitajengwa Dodoma pale!!hapo tutaondoa ufisadi ndani ya vyama na serikali!!!na wanachama waadilifu watapatikana!!
 
Huyo ni Kada mbobezi wa Chama cha Mbuzi.
 
Back
Top Bottom