Huku wakiondoka 'Kisifasifa' na 'Kishamba' kwenda Kigali Wapinzani wao Wamepandisha Bei za Tiketi na sasa Kiingilio ni Laki Moja za Tanzania

Muda wote wewe ni mtu wa kunawashwa washwa tu.
 
Uzuri wa wachezaji wa Yanga ya sasa huwa hata hawajui kama uwanjani kuna mashabiki au hawapo
 
Ukitaka kuficha madhaifu yako basi jiepushe kuwa muongeaji sana. Binafsi huyu GENTAMYCINE nimegundua ni jamaa fulani lofa sana NA HOJA ZAKE NYINGI HUWA HAZINA MANTIKI. PIA ANAONEKANA NI MTU MWENYE STRESS SANA KATIKA NDOA YAKE
 
Ukitaka kuficha madhaifu yako basi jiepushe kuwa muongeaji sana. Binafsi huyu GENTAMYCINE ni jamaa fulani lofa sana NA HOJA ZAKE NYINGI HUWA HAZINA MANTIKI. PIA ANAONEKANA NI MTU MWENYE STRESS SANA KATIKA NDOA YAKE
Ila huyu Jamaa hachelewi kukuchongea upigwe ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…