Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Karibu yakhe,utakuta kila kitu umelipiwa!Kwa sifa hizo Zenji nakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu yakhe,utakuta kila kitu umelipiwa!Kwa sifa hizo Zenji nakuja
Hamna pisi kali kwa sababu hawatembei nusu uchi.
Watu waliochanganya makabila ya kiarabu na kicomoro na wahindi wataacha kuwa pisikali.
Ntahamaki saivi nipost picha yangu humu.
Pisi kali zipo ila zmebarikiwa sura tu ila chooni mtihani kdg..wachache sana yan
Mzee wa nnyaaaaaaHicho ndio wanachoboa, Sura nzuri lakini Chura hawana. Mwanamke bila ya Chura ni Hopeless Kabisa
DuhHicho ndio wanachoboa, Sura nzuri lakini Chura hawana. Mwanamke bila ya Chura ni Hopeless Kabisa
Huu huitwa ushakunaku.Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae!
Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani!
Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!!
Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)
Wanawake huku Zanzibar waoga sana kusemeshwa njiani na mtu wa bara, yaani hata ukimsalimia anaitikia kwa sauti ya chini wala hasimami!
Huku Zanzibari;
Hakika huku Zanzibar ni tabu tupu, nasubiri tarehe 30 nirudi zangu bara!
- Round about inaitwa (ikipinda) au (mviringo), kwenye daladala utasikia Shusha hapo ikipindaaah! Maana yake shusha round about
- Huku Zanzibar sufuria linaitwa dishi,
- Kisima cha maji kinaitwa kisima cha kuvuta
- Huku hakuna fundi bomba Bali kuna fundi mfereji, ukitaka maji ya bomba inabidi useme unaomba maji ya mferejini
- Pombe wanaita- moja moto moja baridi
- Ukitafuta chupi utazunguka sana hupati hadi useme unatafuta HAFU
- Shule huku zinaitwa skuli
- Ukitaka kununua chepe/koleo huku hawalijui hadi useme unataka Li-PAULO
Na huu huitwa UnabeHuu huitwa ushakunaku.
Acheni masihara mna mvuto kweli nyie hao mbona wanalika tuu....Usiombe uende huko vinijini, wakiongea unaweza usiam ilie kitu[emoji23]
Huko bongo wanawake wote wana chura ila hamzitumiiHicho ndio wanachoboa, Sura nzuri lakini Chura hawana. Mwanamke bila ya Chura ni Hopeless Kabisa
Huko bongo wanawake wote wana chura ila hamzitumii
Huko bongo wanawake wote wana chura ila hamzitumii