Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Hamna pisi kali kwa sababu hawatembei nusu uchi.

Watu waliochanganya makabila ya kiarabu na kicomoro na wahindi wataacha kuwa pisikali.

Ntahamaki saivi nipost picha yangu humu.

Tatizo hamuna Chura dada, huo uchotara Bila ya chura ni bure tu
 
Huwezi amini eti hao ndio wanaongea kiswahili fasaha
 
Huu huitwa ushakunaku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…