Hukumu dhidi ya Sabaya haikunipendeza.

Hukumu dhidi ya Sabaya haikunipendeza.

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Ndilo jani litakalovunja mgongo wa ngamia.
Yule Sabaya ni prince of the nation. Mtu yeyote anayekuwa na cheo Kama kile anaitwa "prince".
CCM imetisha watu imeshinda Uchaguzi na Sabaya alikuwa katika Frontline katika kutisha. Sabaya alisema,"watu wanajikamatisha,wanaenda jela,wakitoka huko,wanaitukana serikali. Sitakubali hayo yatokee hapa katika wilaya ya Hai."
Yule mtu alikuwa sincere. Na hili ni kosa la kwanza,Kama alivyosema hakimu wakati anatoa hukumu,kwa hiyo kwa nini asisamehewe?
Kwa sababu it is highly unlikely kwamba utamtisha mtu yoyote na hukumu kama hizi. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi itaendelea .
Haya mambo hayafai. Kuna kazi za kufanya. You cannot snap at the snipers.
Sasa Sabaya ana vijisenti vyake shilingi bilioni tatu. Mawakili watagawana zile hela,halafu yeye watampeleka jela.
Yule mtu ni prince of the nation,amelitumikia taifa Sasa unamdhalilisha.
Mbona siwaoni UVCCM wanapongeza ole hukumu. Au CCM mbona hawajasikika wanaipongeza Ile hukumu?
 
Ndilo jani litakalovunja mgongo wa ngamia.
Yule Sabaya ni prince of the nation. Mtu yeyote anayekuwa na cheo Kama kile anaitwa "prince".
CCM imetisha watu imeshinda Uchaguzi na Sabaya alikuwa katika Frontline katika kutisha. Sabaya alisema,"watu wanajikamatisha,wanaenda jela,wakitoka huko,wanaitukana serikali. Sitakubali hayo yatokee hapa katika wilaya ya Hai."
Yule mtu alikuwa sincere. Na hili ni kosa la kwanza,Kama alivyosema hakimu wakati anatoa hukumu,kwa hiyo kwa nini asisamehewe?
Kwa sababu it is highly unlikely kwamba utamtisha mtu yoyote na hukumu kama hizi. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi itaendelea .
Haya mambo hayafai. Kuna kazi za kufanya. You cannot snap at the snipers.
Sasa Sabaya ana vijisenti vyake shilingi bilioni tatu. Mawakili watagawana zile hela,halafu yeye watampeleka jela.
Yule mtu ni prince of the nation,amelitumikia taifa Sasa unamdhalilisha.
Mbona siwaoni UVCCM wanapongeza ole hukumu. Au CCM mbona hawajasikika wanaipongeza Ile hukumu?

Mmoja mmoja wameanza anza kutoka mashimoni:

IMG_20211016_132442_593.jpg


Idugunde amechomoza "numero uno."

Wengine bado wanatweta.
 
Ndilo jani litakalovunja mgongo wa ngamia.
Yule Sabaya ni prince of the nation. Mtu yeyote anayekuwa na cheo Kama kile anaitwa "prince".
CCM imetisha watu imeshinda Uchaguzi na Sabaya alikuwa katika Frontline katika kutisha. Sabaya alisema,"watu wanajikamatisha,wanaenda jela,wakitoka huko,wanaitukana serikali. Sitakubali hayo yatokee hapa katika wilaya ya Hai."
Yule mtu alikuwa sincere. Na hili ni kosa la kwanza,Kama alivyosema hakimu wakati anatoa hukumu,kwa hiyo kwa nini asisamehewe?
Kwa sababu it is highly unlikely kwamba utamtisha mtu yoyote na hukumu kama hizi. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi itaendelea .
Haya mambo hayafai. Kuna kazi za kufanya. You cannot snap at the snipers.
Sasa Sabaya ana vijisenti vyake shilingi bilioni tatu. Mawakili watagawana zile hela,halafu yeye watampeleka jela.
Yule mtu ni prince of the nation,amelitumikia taifa Sasa unamdhalilisha.
Mbona siwaoni UVCCM wanapongeza ole hukumu. Au CCM mbona hawajasikika wanaipongeza Ile hukumu?
Take home message ni ipi? Mix-up issues!
 
Ccm imetuhalibia sana kama taifa

Imefika mahala sifa ya kuteuliwa imekuwa kwa uvccm kufanya
1. Uzushi
2. Udhalilishaji
3. Kuvunja haki za binadamu nk

Uvccm sasa hivi wanajitahidi kufanya uhuni wa kila namna ilimradi waonekane na mamlaka za uteuzi.

Hii dhana ya mamlaka za uteuzi kuwakweza wadhalilishaji na wahuni ndio imetufikisha kwa akina makonda, Ally hapi na akina Sabaya
 
Acha ujinga wewe,toka lini kumtumikia magufuli kukawa ndio kulitumia taifa.
 
Acha ujinga wewe,toka lini kumtumikia magufuli kukawa ndio kulitumia taifa.

Unamwita kiongozi wa taifa au wakijiji

Ukiulizwa kiongozi na final decision maker wa taifa la Tanzania mwaka 2018 utasemaje?
 
Unamwita kiongozi wa taifa au wakijiji

Ukiulizwa kiongozi na final decision maker wa taifa la Tanzania mwaka 2018 utasemaje?
Matendo yake yalikuwa ni nation interest au personal interest
 
Matendo yake yalikuwa ni nation interest au personal interest

Unajibu nini? Unafaham kusoma?
👇

Unamwita kiongozi wa taifa au wakijiji

Ukiulizwa kiongozi na final decision maker wa taifa la Tanzania mwaka 2018 utasemaje?
 
Ndilo jani litakalovunja mgongo wa ngamia.
Yule Sabaya ni prince of the nation. Mtu yeyote anayekuwa na cheo Kama kile anaitwa "prince".
CCM imetisha watu imeshinda Uchaguzi na Sabaya alikuwa katika Frontline katika kutisha. Sabaya alisema,"watu wanajikamatisha,wanaenda jela,wakitoka huko,wanaitukana serikali. Sitakubali hayo yatokee hapa katika wilaya ya Hai."
Yule mtu alikuwa sincere. Na hili ni kosa la kwanza,Kama alivyosema hakimu wakati anatoa hukumu,kwa hiyo kwa nini asisamehewe?
Kwa sababu it is highly unlikely kwamba utamtisha mtu yoyote na hukumu kama hizi. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi itaendelea .
Haya mambo hayafai. Kuna kazi za kufanya. You cannot snap at the snipers.
Sasa Sabaya ana vijisenti vyake shilingi bilioni tatu. Mawakili watagawana zile hela,halafu yeye watampeleka jela.
Yule mtu ni prince of the nation,amelitumikia taifa Sasa unamdhalilisha.
Mbona siwaoni UVCCM wanapongeza ole hukumu. Au CCM mbona hawajasikika wanaipongeza Ile hukumu?

FAECB324-1A7F-48FD-BE66-1EB5C2BFB1E9.jpeg
 

Attachments

  • IMG_0666.MP4
    5.7 MB
Ndilo jani litakalovunja mgongo wa ngamia.
Yule Sabaya ni prince of the nation. Mtu yeyote anayekuwa na cheo Kama kile anaitwa "prince".
CCM imetisha watu imeshinda Uchaguzi na Sabaya alikuwa katika Frontline katika kutisha. Sabaya alisema,"watu wanajikamatisha,wanaenda jela,wakitoka huko,wanaitukana serikali. Sitakubali hayo yatokee hapa katika wilaya ya Hai."
Yule mtu alikuwa sincere. Na hili ni kosa la kwanza,Kama alivyosema hakimu wakati anatoa hukumu,kwa hiyo kwa nini asisamehewe?
Kwa sababu it is highly unlikely kwamba utamtisha mtu yoyote na hukumu kama hizi. Hii ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kazi itaendelea .
Haya mambo hayafai. Kuna kazi za kufanya. You cannot snap at the snipers.
Sasa Sabaya ana vijisenti vyake shilingi bilioni tatu. Mawakili watagawana zile hela,halafu yeye watampeleka jela.
Yule mtu ni prince of the nation,amelitumikia taifa Sasa unamdhalilisha.
Mbona siwaoni UVCCM wanapongeza ole hukumu. Au CCM mbona hawajasikika wanaipongeza Ile hukumu?
Ikupendeze wewe kama nani? Ngoja aendelee kuwataja tutaswasaka wote.
 
Tatizo nchi hii ni kwamba watu walewale wanatoa maoni kila siku mpaka watu hao wamechoka;Maria Sarungi,Fatma Karume,Kigogo na sijui nani mwingine. Tunahitaji kusikia maoni ya watu wengine. Mi ni ustadhi,I know what I am talking about. Na hao watu wasiojulikana wangekuwa wanachukua muda kidogo kufanya consultation na ustadhi au Baba Askofu wangepata uhalali wa kufanya yao. Wangechukua muda tu kuongea na Baba Askofu,"mtu fulani kafanya hivi na hivi,watu wamekasirika,wanataka kuitoa roho yake,lakini mimi nimewazuia,Baba Askofu,wewe una mawazo gani?"
 
Back
Top Bottom