Mpindo
Member
- Nov 28, 2013
- 62
- 54
Wakuu,
Nilikuwa na kesi ambayo ilikuwa tunagombea kipande cha Ardhi. Ushahidi pande zote ulitolewa, mimi nilikuwa mlalamikaji. Hukumu ilitolewa kwamba mimi sina haki. Lakini katika mwenendo wa kesi baada ya kufuatilia ilibainika Hakimu hakuwa anandika ushahidi uliokuwa unatolewa wa kwangu na mashahidi wangu ule mzuri ambao ulionyesha eneo lile lilikuwa langu. Sasa katika mazingira hayo nitalalmikaje? Na kwa nani? Kwa sababu ukisoma hukumu na mwenendo wa kesi ni kama mimi sikiwa na mashahidi, kwamba hata mashahid wangu eti wamenikataa, wakati ukweli ni kwamba mashahidi wangu walitoa ushidi wa kuunga mkono kwamba mimi ni mwenye haki.
Naomba mniambie nafanyaje kwasababu hakimu alivyoamua ni kama alikuwa na upande wake tayari hata kabla ya Hukumu.
Nilikuwa na kesi ambayo ilikuwa tunagombea kipande cha Ardhi. Ushahidi pande zote ulitolewa, mimi nilikuwa mlalamikaji. Hukumu ilitolewa kwamba mimi sina haki. Lakini katika mwenendo wa kesi baada ya kufuatilia ilibainika Hakimu hakuwa anandika ushahidi uliokuwa unatolewa wa kwangu na mashahidi wangu ule mzuri ambao ulionyesha eneo lile lilikuwa langu. Sasa katika mazingira hayo nitalalmikaje? Na kwa nani? Kwa sababu ukisoma hukumu na mwenendo wa kesi ni kama mimi sikiwa na mashahidi, kwamba hata mashahid wangu eti wamenikataa, wakati ukweli ni kwamba mashahidi wangu walitoa ushidi wa kuunga mkono kwamba mimi ni mwenye haki.
Naomba mniambie nafanyaje kwasababu hakimu alivyoamua ni kama alikuwa na upande wake tayari hata kabla ya Hukumu.