Damu ya mtu haipotei hivi hivi.
Damu ya hao marehemu itamhukumu Chenge!
Yuko wapi Ditopile Mzuzuri??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu ya mtu haipotei hivi hivi.
Damu ya hao marehemu itamhukumu Chenge!
Hivi mkuu hii sheria mpaka leo iko hivi bado ?Cause kuna rafiki yangu amekumbwa na shida ya aina hiiSheria inayohusu kosa la kuendesha gari na kumgonga mtu na kufa ni kosa linalohusu makosa ya barabarani au traffic case. Sheria zilizopo kwa kesi za traffic ni za kichekesho saana, unaambiwa adhabu yake kwa kosa la kugonga mtu na kuua haizidi faini ya shilingi laki moja au kwenda jela miaka miwili. Chenge kutozwa faini ya laki saba bado inaonesha kama hakimu kamkomoa vile. Kwa sheria kama zilivyo kwenye vitabu adhabu ni ndogo saaana. Ndio maana madereva wetu wa daladala hawajali saana kufanya makosa hata kugonga watu na kuwaua, sababu adhabu zake nyingi ni za faini na ukikosa faini ndio unafungwa. Unless kama sheria ingebadilika na adhabu kuwa ya kifungo tu bila faini labda mauaji ya kugongwa na magari barabarani yangepungua. So kwa Chenge kulipa faini tusimlaumu hakimu na wala hakuna mchezo mchafu wowote hapo bali ni sheria zetu ziko weak saana kwa makosa ya barabarani.
Wanajamvi naomba mwenye taarifa kuhusu kesi ya Chenge aniarifu
Sheria zinasemaje kwa mtu aliyepatikana na kosa na kuhukumiwa na mahakama, je kazi yake ya ubunge ataendelea nayo?
tunasheria ya kikoloni , uwe umegonga makusudi au bahati mbaya ,faini 150000....ONYO kaa mbali na service roadBongo kuna wengine sheria haiwabani, lkn sheria inasemaje kwa dereva anayesababisha kifo kwa kumgonga mtu ? Naomba ufafanuzi kwa wanaojua sheria.
tunasheria ya kikoloni , uwe umegonga makusudi au bahati mbaya ,faini 150000....ONYO kaa mbali na service road
Hivi mkuu hii sheria mpaka leo
Hivi mkuu hii sheria mpaka leo iko hivi bado ?Cause kuna rafiki yangu amekumbwa na shida ya aina hii
???Sheria zinasemaje kwa mtu aliyepatikana na kosa na kuhukumiwa na mahakama, je kazi yake ya ubunge ataendelea nayo?
Wanajamvi naomba mwenye taarifa kuhusu kesi ya Chenge aniarifu