Hukumu kesi ya Morrison hakuna anaepaswa kujiuzulu Yanga?

Hukumu kesi ya Morrison hakuna anaepaswa kujiuzulu Yanga?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kwanini lazima awepo mtu wa kujiuzulu?

1. Mzee Kikwete aliishauri Yanga iachane na Morrison itafute Wachezaji wengine wa kuwachukua, alipuuzwa.

2. Wanachama na mashabiki waliaminishwa uongo na viongozi wao.

3. Mashabiki walikuwa na hamu kubwa kusikia majibu ya cas yakiwa positive kwa muda mrefu sana.

4. Wametumia fedha za club vibaya badala ya hela hiyo kutumika kujenga uwanja wa Kaunda.

5. Wamekula hela ya mfadhili kiboya kabisa.

6. Wamesababisha usumbufu kwa Morison, Simba, TFF, na kwa watanzania wengi.

7. Ili iwe fundisho kwa wengine wenye mawazo na akili kama hizi.
 
Waliambiwa na TFF kuwa mkataba una dosari hivyo Morrison ni mchezaji huru wao wakajitia U Much Know

Viongozi wa Yanga wasiachie ngazi ili Simba SC tuendelee kula Pweza Gizani..!

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
 
Waliambiwa na TFF kuwa mkataba una dosari hivyo Morrison ni mchezaji huru wao wakajitia U Much Know

Viongozi wa Yanga wasiachie ngazi ili Simba SC tuendelee kula Pweza Gizani..!

Kulitaka Mwana Kulipewa Mwana.
Dah nmefurahi kukuona tena hapa mwana kulitaka mwanakulipata!
 
Huu utamduni wa kujiuzulu Bongo haupo. Labda Mzee Mpili aorganize maandamano ya mashabiki wa Utopolo hadi pale Jangwani kuwalazimisha matapeli wao wajiuzuru.
 
Kwanini lazima awepo mtu wa kujiuzulu?
1. Mzee Kikwete aliishauri Yanga iachane na Morrison itafute Wachezaji wengine wa kuwachukua, alipuuzwa.

2. Wanachama na mashabiki waliaminishwa uongo na viongozi wao..
Ninasikiliza E FM na mchambuzi Jeffenglish kazungumza hivi hivi.
 
Kwanini lazima awepo mtu wa kujiuzulu?
1. Mzee Kikwete aliishauri Yanga iachane na Morrison itafute Wachezaji wengine wa kuwachukua, alipuuzwa.

2. Wanachama na mashabiki waliaminishwa uongo na viongozi wao.

3. Mashabiki walikuwa na hamu kubwa kusikia majibu ya cas yakiwa positive kwa muda mrefu sana.

4. Wametumia fedha za club vibaya badala ya hela hiyo kutumika kujenga uwanja wa Kaunda.

5. Wamekula hela ya mfadhili kiboya kabisa.

6. Wamesababisha usumbufu kwa Morison, Simba, TFF, na kwa watanzania wengi.

7. Ili iwe fundisho kwa wengine wenye mawazo na akili kama hizi.
huo utamaduni wa watu kujiuzulu ktk nchi hii ulianza lini na nani,hatutaki kiongozi wetu yoyote ajiuzulu [emoji2959][emoji2959]
 
Back
Top Bottom